Friday, June 17, 2016

DCB BENKI YAZINDUA TAWI LA BENJAMIN MKAPA LEO JIJINI DAR ES SALAAM.

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -TAMISEMI, George Simbachawene  akizungumza na wadau mbalimbali  wakati wa uzinduzi wa Tawi la Benki ya DCB linaloitwa Benjamin Mkapa-City.leo jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya DCB Benki Balozi, Paul Rupia akizungumza katika uzinduzi huo ulio fanyika leo jijini Dar es Salaam, Wakati wa Uzinduzi wa Tawi hilo.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -TAMISEMI, George Simbachawene  akipokea hundi ya Shilingi  Milioni 39 kutoka DCB Benki kwa ajili ya kununulia Madawati, leo jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -TAMISEMI, George Simbachawene  akikata utepe kuzindua  Tawi la Benjamin Mkapa City, leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -TAMISEMI,
George Simbachawene  akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa DCB Benki leo jijini Dar es Salaam.

No comments: