Tuesday, May 3, 2016

WAKAZI WA TEMEKE WAMIMINIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA HIFADHI YA JAMII 'NSSF'

Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye foleni kwa katika banda la NSSF kwa ajili ya kujiunga na mfuko huo katika kampeni maalumu ya kuelimisha na kuandikisha wanachama wa Hiari kampeni zilizoanzia Wilaya ya Temeke kwenye viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam. (Picha na John Dande)
Afisa Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Aisha Sango (kulia), akiwajazia fomu baadhi ya wanachama wapya katika kampeni maalumu ya kuelimisha na kuandikisha wanachama wa Hiari kampeni zilizoanzia Wilaya ya Temeke kwenye viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam juzi. Jumla ya wanachama 214 walijiunga na NSSF.
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye foleni katika banda la NSSF kwa ajili ya kujiunga na NSSF katika kampeni maalumu ya kuelimisha na kuandikisha wanachama wa Hiari kampeni zilizoanzia Wilaya ya Temeke kwenye viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko na Uhusiano wa NSSF, Amani Marcel (kushoto) akiwakabidhi fulana wanachama wapya, Emmanuel Joseph na Prisca Mwamsojo katika kampeni maalumu ya kuelimisha na kuandikisha wanachama wa Hiari kampeni zilizoanzia Wilaya ya Temeke kwenye viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam juzi. Jumla ya wanachama 214 waliandikishwa. 
Ofisa Msajili wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Grace Mutegeki (kushoto) akiwaelekeza jambo baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na mfuko huo katika kampeni maalumu ya kuelimisha na kuandikisha wanachama wa Hiari kampeni zilizoanzia Wilayaya Temeke kwenye viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Aisha Sango akimjazia fomu ya kujiunga na NSSF mchuuzi wa mayai wakati wa kampeni maalumu ya kuelimisha na kuandikisha wanachama wa Hiari kampeni zilizoanzia Wilaya ya Temeke kwenye viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam juzi. Jumla ya wanachama wapya 214 walijiunga na NSSF. 
Baadhi ya wananchi wakisoma fomu kabla ya kujiunga na NSSF katika kampeni maalumu ya kuelimisha na kuandikisha wanachama wa Hiari kampeni zilizoanzia Wilaya ya Temeke kwenye viwanja vya Mwembe Yanga Jijini Dar es Salaam.
Watu mbalimbali wakisubiri kujiandikisha.
Afisa Uandikishaji wa NSSF, Amina Kisawaga, kushoto akiwaelekeza jambo baadhi ya wananchi waliotembelea banda lao katika kampeni maalumu ya kuelimisha na kuandikisha wanachamawa Hiari kampeni zilizoanzia Wilaya ya Temeke kwenye viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam juzi. Zaidi ya wanachama 20 walijiandikisha.

No comments: