Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Bw. Roeland Van De Geer kizungumza jambo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa programu ya kusaidia mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika jana. Picha na Geofrey Adroph
Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya(EU) kutoka Brussels, Bi Rosario Bento Pais akizungumzia masuala ya kuzisaidia asasi zisizo za kiserikali ili ziweze kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa maana hizo zinawalenga watu katika jamii husika.
Baadhi ya mabalozi kutoka Umoja wa Ulaya(EU) pamoja na wageni waalikwa wakiwa kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa programu ya kusaidia mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika jana
Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya(EU) kutoka Brussels, Bi Rosario Bento Pais(kulia) akisaini kuashiria uzinduzi rasmi wa programu ya kusaidia mashirika yasiyo ya kiserikali kushoto ni Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania,Bw. Roeland Van De Geer
Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania,Bw. Roeland Van De Geer(kushoto) pamoja na Mwakilishi wa asasi za kiraia, Bw. Francis Kiwanga wakisaini kuashiria uzinduzi rasmi wa programu ya kusaidia mashirika yasiyo ya kiserikali za Tanzania Bara na Zanzibar. Katikati ni Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya(EU) kutoka Brussels, Bi Rosario Bento Pais
Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya(EU) kutoka Brussels, Bi Rosario Bento Pais(kushoto), Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania,Bw. Roeland Van De Geer(katikati) pamoja na Mwakilishi wa asasi za kiraia, Bw. Francis Kiwanga wakizindua rasmi programu ya kusaidia mashirika yasiyo ya kiserikali za Tanzania Bara na Zanzibar.
Picha ya Pamoja.
No comments:
Post a Comment