Wednesday, March 9, 2016

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS TUONG WA VIETNAM LEO

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimkaribisha Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, kwa ajili ya mazungumzo ya pamoja na viongozi wengine katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa katika mazungumzo ya pamoja na viongozi wengine na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang na ujumbe wake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini. Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Zakia Meghji na Waziri Mahiga.
  Rais Truong wa Vietnam akimsifia jambo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akati akimuaga baada ya mazungumzo yake na Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete (kulia)
  Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa katika mazungumzo ya pamoja na viongozi wengine na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang na ujumbe wake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini. Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Zakia Meghji na Waziri Mahiga na kulia ni Dk. Asha-Rose Migiro.
 Mwenyekiti wa CCM Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa na ujumbe wake katika mazungumzo hayo 
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Rais Truong baada ya mazungumzo yao. Kulia ni Dk. Asha-Rose Migiro na Abdulrahman Kinana. na Kushoto ni Waziri Mahiga.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Rais Truong baada ya mazungumzo yao. Walioketi kulia ni Dk. Asha-Rose Migiro na Abdulrahman Kinana. na Kushoto ni Waziri Mahiga. Na waliosimama ni baadhi ya viongozi waandamizi walioshiriki katika mazungumzo kwa upande wa Mwenyekiti wa CCM Kikwete na wa upande wa Rais Truong.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akitoka na mgeni wake, Rais Truong wa Vietnam baada ya mazungumzo yao. 
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiagana na mgeni wake, Rais wa Truong wa Vietnam baada ya mazungumzo yao
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiagana na mgeni wake, Rais wa Truong wa Vietnam baada ya mazungumzo yao. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
 Rais Truong wa Vietnam akiagana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, baada ya mazungumzo yake na Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete (kulia)
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimsindikiza Rais Truong wa Vietnam kwenda kupanda gari
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimsindikiza Rais Truong wa Vietnam kwenda kupanda gari
 Rais Truong wa Vietnam akiwaaga wananchi waliokuwa nje ya jengo la Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba kabla ya kuondoka
  Rais Truong wa Vietnam akiwashukuru wananchi waliokuwa nje ya jengo la Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba kabla ya kuondoka
 Rais wa Truong wa Vietnam akimuaga mwenyeji wake, Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kabla ya kuondoka
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimpungia mkono kumtakia ziara njema, Rais Truong wakati wakiondoka na msafara wake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam
 "Naam, Nadhani ugeni wetu tumeupokea na kuuaga vizuri", Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimweleza Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana baada ya Rais Truong wa Vietnam kuondoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba. 
 "NIMEWA-MISS SANA"Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwasalimia waandishi wa habari waliofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, kuchukua taarifa za ujio wa Rais Truong 
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akizungumza na waandishi wa habari kuhusu yaliyojiri katika mazungumzo yake na Rais Truong wa Vietnam.   Aliwaambia kwamba kikubwa walichozungumza na mgeni wake ni kuhusu mahusiano kati ya CCM na nchi hiyo ya Vietnam, hasa ikizingatiwa kwamba, Nchi hiyo ilishiriki kwa namana moja au nyingine katika harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika na harakati nyingine za ukombozi wa Mwafrika hasa Watanzania enzi za Baba wa Taifa Hatari Mwalimu Nyerere.. 

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimkaribisha Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, kwa ajili ya mazungumzo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa katika mazungumzo ya faragha ofisini kwake na Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, kwa ajili ya mazungumzo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini
 Waziri wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Kanda na Kimataifa Balozi Augustine Mahiga akizungumza na Katibu wa NEC anayeshughulikia Uchumi na Fedha wa CCM, Zakiah Megji wakati wa mazungumzo ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na mgeni wake, Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Katibu wa NEC, Ushirikiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, akiwa na Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Muhammed Seif Khatibu wakati wa mazungumzo hayo ya Kikwete na Rais wa Vietnam. Kulia Ni Kaim Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM, Shaka Hamidu Shaka
 Viongozi na Maofisa wa CCM wakiwa kwenye mazungumzo hayo
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments: