Friday, February 5, 2016

VIDEO YA LUPEZA YA ALI KIBA YAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO.

VIDEO ya Lupeza ya msanii wa kizazi kipya, Ali kiba ambaye pia ni 

balozi wa WILD AID Afrika yazinduliwa jijini Dar es Salaam leo ikiwa wasanii mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya nchi walijitokeza kwa 
 wingi katika kumuunga mkono msanii na  balozi wa WILD AID Afrika, 

katika uzinduzi wa video yake hiyo.

Video hiyo iliyofanyiwa nchini marekani imezinduliwa katika Hoteli ya
Slipway jiji Dar es Salaam huku kiba akiwataka watanzania na walimwengu
kuachana na kujihusisha na ujangili wa kuuwa wanyama pori.


Baadhi ya wasanii waliojitokeza ni AT,  MwanaFA, Aika, Nahreel,
Vanessa, Jux,  Joh Makini, Wema Sepetu, Baraka Da Prince na wengine
wengi.
 Msanii na  balozi wa WILD AID Afrika, Ali Saleh ‘Ali Kiba’ akizungumza na wadau mbalimbali  (hawapo pichani) juu ya  uzinduzi wa video yake mpya ya Lupeza jijini Dar es Salaam.

 Wadu mbalimbali wakimsikiliza  Msanii na  balozi wa WILD AID Afrika,Ali Saleh ‘Ali Kiba’katika uzinduzi wa video yake mpya ya Lupeza.jana jijini Dar es Salaam.

 Msanii na  balozi wa WILD AID Afrika,Ali Saleh ‘Ali Kiba’akiwakabidhi CD wasanii mbalimbali na wanau wa muziki mara baada ya uzinduzi huo










No comments: