Tuesday, February 16, 2016

TASWIRA ZINGINE ZA LADY IN RED LONDON

 Lady in Red iliyofanyika siku ya Jumamosi Februari 13, 2016 jijini London, uingereza maalum kwa siku ya wapendanao iliyoandaliwa na ClubMalibu na kufanywa na mama nguli wa mitindo Asya Idarous Khamsini huku ikinogeshwa na msanii wa Bongo Flava Rich Mavoko.
 Mlimbwende akipita mbele ya mashabiki wa mitindo jijini London kwenye onesho la Lady in Red ililofanywa na mama mitindo nguli Asya Idarous Khamsini mwenye maskani yake mji wa Houston jimbo la Texas, Onesho hilo lililohudhuriwa na mashabiki wa mitindo jijini London lilinogeshwa na msanii wa Bongo Flava Rich Mavoko.
 Walimbwende wakipita mbele ya mashabiki wa mitindo.








No comments: