Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akimtoka beke wa
JKT Mlale, Lucas Chapanga katika mchezo wa Kombe la FA uliofanyika leo kwenye
Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Yanga ilishinda 2-1. Kwa matokeo hayo Yanga imeingia hatua ya robo fainali ya michuano hiyo. (Picha na Habari Mseto Blog)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgtZr8B5wn3Nm4FkC8dHHb17d5XWGn5EeJXJb1jC2BhxmRr8YOw142mnxNwgcTeNMFss55ByBmtMP4BE132F_TA8LoAnxBigAQpYRvXmH-Pms9TWWA-dI969NhUCjyVnJII1QBw2RkPlyI/s640/IMGS2983.jpg)
Geofrey Mwashiuya akimtoka Lucas Chapanga.
Geofrey Mwashiuya akimtoka Lucas Chapanga.
Geofrey Mwashiuya akimtoka Lucas Chapanga.
Salum Telela akichuana na Said Ngapa.
No comments:
Post a Comment