Wednesday, February 24, 2016

MICHUANO YA KOMBE LA FA, YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT MLALE 2-1

Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akimtoka beke wa JKT Mlale, Lucas Chapanga katika mchezo wa Kombe la FA uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.  Yanga ilishinda 2-1. Kwa matokeo hayo Yanga imeingia hatua ya robo fainali ya michuano hiyo. (Picha na Habari Mseto Blog)
  Mshambuliaji wa Yanga, Geofrey Mwashiuya akimtoka beke wa JKT Mlale, Lucas Chapanga katika mchezo wa Kombe la FA uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 Geofrey Mwashiuya akimtoka Lucas Chapanga.
 Geofrey Mwashiuya akimtoka Lucas Chapanga.
  Geofrey Mwashiuya akimtoka Lucas Chapanga.
Lucas Chapanga akichuana na  Geofrey Mwashiuya.
Salum Telela akichuana na Said Ngapa.

No comments: