Thursday, January 21, 2016

WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI YAPOKEA MAONI YA WADAU WA MAJI KATIKA MJI MDOGO WA HIMO

Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Joyce Msiru akisalimiana na mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga aliyekuwa mgeni rasmi katika kikao cha wadau wa maji cha kupokea maoni kilichofanyika ukumbi wa KKT -Himo. 
Mkurugenzi mkuuu wa MUWSA,Joyce Msiru akizungumza jambo na DC Makunga pamoja na Mkurugenzi msaidizi wa mamlaka za maji mijini,Mhandisi Amani Mafuru na Mwanasheria mkuu wa wizara ya maji na umwagiliaji Saimoni Nkanyemka. 
Mkurugenzi wa MUWSA,Joyce Msiru akimuongoza Mkuu wa wilaya ya Moshi na wageni wengine kutoka wizara ya maji kuingia ukumbini. 
Mwenyekitiwa Bodi ya wakurugenzi MUWSA,Sharry Raymond (MB) (Katikati) akiwa na Mwenyekiti wa mji mdogo wa Himo Hussein Jamal (Kulia) pamoja na Afisa mtendaji wa mamlaka ya mji mdogo wa Himo,William Mseo (Kushoto). 
Baadhi ya Viongozi kutoka Menejimenti ya MUWSA pamoja na wawakilishi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika kikao hicho. 
Baadhi ya wajumbe wa mji mdogo wa Himo na Madiwani wakiwa na mwanasheria wa Wizara ya maji na Umwagiliaji. 
Afisa mtendaji wa mamlaka ya mji mdogo wa Himo,William Mseoakizungumza wakati wa utambulisho wa wageni katika kikao hicho. 
Baadhi ya wananchi na wajumbe wa mji mdogo wa Himo wakiwa katika kikao hicho. 
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na uSAFI WA mazingira mjini Moshi ,MUWSA,Joyce Msiru akizungumza katika kikao hicho wakati anawasilisha taarifa fupi ya utekelezaji wa Mamlaka hiyo katika mji wa Himo. 
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Sharry Raymond akizungumza katika kikao hicho. 
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akizungumza katika kikao hicho. 
Baadhi ya wananchi. 
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi,Fulgence Mponji akichangia jambo katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa KKKT Himo. NaDixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. 
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Joyce Msiru akisalimiana na mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga aliyekuwa mgeni rasmi katika kikao cha wadau wa maji cha kupokea maoni kilichofanyika ukumbi wa KKT -Himo. 
Mkurugenzi mkuuu wa MUWSA,Joyce Msiru akizungumza jambo na DC Makunga pamoja na Mkurugenzi msaidizi wa mamlaka za maji mijini,Mhandisi Amani Mafuru na Mwanasheria mkuu wa wizara ya maji na umwagiliaji Saimoni Nkanyemka. 
Mkurugenzi wa MUWSA,Joyce Msiru akimuongoza Mkuu wa wilaya ya Moshi na wageni wengine kutoka wizara ya maji kuingia ukumbini. 
Mwenyekitiwa Bodi ya wakurugenzi MUWSA,Sharry Raymond (MB) (Katikati) akiwa na Mwenyekiti wa mji mdogo wa Himo Hussein Jamal (Kulia) pamoja na Afisa mtendaji wa mamlaka ya mji mdogo wa Himo,William Mseo (Kushoto). 
Baadhi ya Viongozi kutoka Menejimenti ya MUWSA pamoja na wawakilishi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika kikao hicho. 
Baadhi ya wajumbe wa mji mdogo wa Himo na Madiwani wakiwa na mwanasheria wa Wizara ya maji na Umwagiliaji. 
Afisa mtendaji wa mamlaka ya mji mdogo wa Himo,William Mseoakizungumza wakati wa utambulisho wa wageni katika kikao hicho. 
Baadhi ya wananchi na wajumbe wa mji mdogo wa Himo wakiwa katika kikao hicho. 
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na uSAFI WA mazingira mjini Moshi ,MUWSA,Joyce Msiru akizungumza katika kikao hicho wakati anawasilisha taarifa fupi ya utekelezaji wa Mamlaka hiyo katika mji wa Himo. 
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Sharry Raymond akizungumza katika kikao hicho. 
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akizungumza katika kikao hicho. 
Baadhi ya wananchi. 
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi,Fulgence Mponji akichangia jambo katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa KKKT Himo. NaDixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.






No comments: