Tuesday, January 19, 2016

WADAU WA ELIMU WA MKOA WA MBEYA NA KATAVI WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUONGEZA IDADI YA UFAULU WA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA MKOA WA MBEYA.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh:Abbas Kandoro akizungumza na Waandishi wa Habari hawapo Pichani nje ya Ukumbi wa Mkapa uliopo Sokomatola Jijini Mbeya katika Semina ya Wadau wa Elimu wa Mkoa wa Mbeya na Mkowa wa Katavi ambao wamekutana leo kuzungumzia juu ya Mbinu ambazo wanazitumia Mkoa wa Katavi kufanikiwa kufaulisha Wanafunzi kwa Asilimia kubwa kulinganisha na Mkowa wa Mbeya na Mikoa mingine.
Kutoka Kushoto ni Afisa Elimu Mkoa wa Mbeya Ndugu,Charles Mwakalila na Afisa Elimu Mkoa wa Katavi Ndugu,Helenest Hinju akizungumza na Wadau wa Elimu Mkowa wa Mbeya na Katavi hawapo Pichani katika Semina ya Wadau wa Elimu iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Mkapa Jijini Mbeya.
Baadhi ya Wadau wa Elimu Mkowa wa Mbeya na Katavi wakisikiliza kwa makini Semina hiyo ya siku mbili juu ya Mbinu za Ongezeko la ufauru kwa Dalasa la Saba Mkoa wa Mbeya.
PICHA NA MR.PENGO GLOBU YA JAMII MBEYA.

No comments: