Tuesday, January 26, 2016

SIMU TV: UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI January 26, 2016.


Rais wa Zanzibar  Dkt. Mohammed Shein ahudhuria mazishi ya aliyekuwa mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM taifa marehemu Nyonje Pandu.   https://youtu.be/z2o2kQDMqks

Bunge la 11 la Jamhuri ya muungano wa Tanzania limeanza kikao chake cha kwanza hii leo mjini Dodoma.   https://youtu.be/6EzQPc-oGqU

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU imeomba kibali cha kuwafikisha mahakamani watuhumiwa wa kesi 36 za rushwa.  https://youtu.be/w6HvSbM8LXg 

Serikali mkoani Mwanza imeziagiza kampuni zilizopatiwa dhamana ya uwakala wa uzoaji taka kuzingatia kanuni za makubaliano ya uzoaji taka.   https://youtu.be/1UA4RAOmKyg

Waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Willium Lukuvi aiagiza TAKUKURU kuwakamata viongozi na watendaji waliohusika katika ugawaji wa shamba la kijiji cha Mlilingwa mkoani Morogoro.   https://youtu.be/tC43lr9BVsg

Serikali imesema inakusudia kufanya marekebisho ya sheria ya mfuko wa afya ya jamii kutoka hiari na kuwa Lazima.   https://youtu.be/Z7S3Bq2hXUs

Serikali imeshauriwa kuanza kutafuta njia muafaka ya utaratibu wa kutoa mikopo kuanzia ngazi ya shule za msingi.   https://youtu.be/lIfXHL9am5I

Kamati ya mashindano ya Olimpiki nchini Urusi imewafungia wanariadha wake 4 kwa tuhuma za matumizi ya dawa za kusisimua misuli michezoni. https://youtu.be/00CRvTKpyAo

Waziri mkuu Kassim Majaliwa awataka wabunge kuleta hoja zenye mashiko zitakazosaidia kuleta maendeleo; https://youtu.be/N5F_k6oXODc

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa  TAKUKURU yatangaza vita dhidi ya rushwa na ufisadi nchini; https://youtu.be/UCOTuAjwUVY

Kaya Zaidi ya 180 wilayani Kilwa hazina makazi kufutia nyumba zao kujaa maji kutokana na mvua kubwa iliyonyesha wilayani  humo; https://youtu.be/rqcXsypT_18

Jumuiya ya wafanyabiashara yampongeza Rais John Magufuli kwa kazi nzuri anaoifanya ya ukusanyaji wa mapato; https://youtu.be/1QXXJw5b6Es

Rais John Magufuli awataka watanzania kuwa na desturi ya kusoma vitabu ili kukuza maarifa; https://youtu.be/B_oy78wmgWk

Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF latoa ufafanuzi juu ya mabadiliko ya ratiba ya ligi kuu Tanzania bara; https://youtu.be/pnSgtffan3E

Kijana mmoja aliyeamua kutembea kwa miguu kutoka Mwanza kwenda Dar es Salaam kwa lengo la kuunga juhudi za serikali ya awamu ya tano awasili mkoani Singida;https://youtu.be/BwMfmw-nAb4

Mahakama kuu kitengo cha ardhi yatoa kibali kwa wahanga wa bomoabomoa katika manispaa ya kinondoni kufungua kesi ya msingi; https://youtu.be/0Xah_S5oS3E

Serikali ya Burundi yajitetea juu ya madai ya ukiukaji wa haki za binadamu unaofanywa na serikali hiyo; https://youtu.be/1FPAT6bbk-A

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA chalaani kutolewa nje ya kikao kwa mbunge  wa jimbo la Kilombero anayekiwakilisha chama hicho;https://youtu.be/RDXZTqBqLb8

Taasisi ya kupamba na rushwa TAKUKURU yasema iko katika hatua ya mwisho ya uchunguzi wa kesi kubwa za rushwa; https://youtu.be/vO2y6uZQ8HY

Baadhi ya wananchi wa Mkulanga mkoani Pwani wavamia pori lililotelekezwa kwa muda mrefu kwa lengo la kuweka makazi ya kudumu; https://youtu.be/nUstYjjZfJY

Timu ya Simba yakanusha taarifa zilizoenea kuwa inampango wa kumwajili Kim Paulsen kuwa kocha wa timu hiyo; https://youtu.be/s-Afcp8KnRQ

Uongozi wa klabu ya Manchester United ya nchini Uingereza yakanusha taarifa kuwa  yamruhusu kocha Louis Van Gaal  kujiuzulu; https://youtu.be/6Afgklnj3Lk

No comments: