Friday, January 8, 2016

DKT. SHEIN AFUNGUA STUDIO MPYA YA MUZIKI NA FILAMU RAHALEO MJINI UNGUJA LEO

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi wa Studio ya Muziki na Filamu mara alipowasili katika viwanja vya Studio ya Rahaleo Mjini Unguja wakati wa ufunguzi wa Studio ya Muziki na Filamu leo ikiwa ni shamra shamra za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 52
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akiwaangalia wasanii walipokuwa wakitoa burudani yao  mara alipowasili katika viwanja vya Studio ya Rahaleo Mjini Unguja wakati wa ufunguzi wa Studio ya Muziki na Filamu leo ikiwa ni shamra shamra za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 52
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kama ishara ya  ufunguzi rasmi wa Studio ya Muziki na Filamu uliofanyika leo katika jengo la zamani la Studio Rahaleo Mjini Unguja,ikiwa ni shamra shamra za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 52.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Studio za Muziki na Filamu Bakari Shomari alipotembelea Studio ya kurikodia Muziki baada ya kufanya ufunguzi rasmi  uliofanyika leo katika jengo la zamani la Studio Rahaleo Mjini Unguja,ikiwa ni shamra shamra za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 52
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wiazra ya habari Utalii Utanmadunu na Michezo Dkt. Ali Mwinyikai alipotembelea moja ya Studio ya kurikodia Muziki baada ya kufanya ufunguzi rasmi  uliofanyika leo katika jengo la zamani la Studio Rahaleo Mjini Unguja,ikiwa ni shamra shamra za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 52,(wa pili kushoto)Meneja wa Studio za Muziki na Filamu Bakari Shomari
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein na Viongozi wengine wakiwaangalia wasanii wanavyorekodi wakiwa Studio wa Muziki wa Audio alipotembelea Studio za Kurikodia Filamu na Muziki  leo katika jengo la zamani la Studio Rahaleo Mjini Unguja,ikiwa ni shamra shamra za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 52
  Baadhi ya wananchi na wasanii waliohudhuria katika sherehe za Ufunguzi wa Studio za Muziki na Filamu leo uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,ikiwa ni shamra shamra za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar
 Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar waliohudhuria katika sherehe za Ufunguzi wa Studio za Muziki na Filamu leo uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,ikiwa ni shamra shamra za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Viongozi  wengine wakiangalia Moja ya Filamu iliyooneshwa leo wakati wa ufunguzi rasmi wa Studio ya Muziki na Filamu,mara baada ya kufanyika ufunguzi huo  leo katika jengo la zamani la Studio Rahaleo Mjini Unguja,ikiwa ni shamra shamra za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 52
 Msanii maarufu Makombora alipokuwa akisoma risala kwa niaba ya wasanii wenzake leo wakati wa ufunguzi wa Studio ya Muziki na Filamu leo,uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Sheinikiwa ni shamra shamra za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 52
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake kwa wasanii katika sherehe za ufunguzi wa Studi ya Muziki na Filamu katika Jengo la zamani la Studio ya Rahaleo Mjini Unguja,ikiwa ni shamra shamra za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 52
Baadhi ya Viongozi na Wasanii maarufu wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Studio ya Muziki na Filamu  uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein leo katika Jengo la zamani la Studio Rahaleo Mjini Unguja,ikiwa ni shamra shamra za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Picha na Ikulu.

No comments: