Sunday, December 27, 2015

AZAM FC YAILAMBA KAGERA SUGAR 2-0

 Benchi la ufundi la timu ya Azam FC.
 Benchi la ufundi la Kagera Sugar.
 Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao la kwanza la timu yao katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar uliofanyika kwenye Uwanja wa Azam Complex. Azam imeshinda 2-0. (Picha na Francis Dande)
 Kavumbagu akichuana na beki wa Kagera Sugar, Shaban Ibrahim.
 Didier Kavumbagu akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Kagera Sugar, Shaban Ibrahim.
 Shaban Ibrahim akimshika bukta Didier Kavumbagu.
 Uniwezi.....
 Kavumbagu akimtoka Shaban Ibrahim.
 Shaban Ibrahim akienda chini.
 Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu akimtoka beki wa Kagera Sugar, Shaban Ibrahim.
Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco (kulia) akichuana na beki wa Kagera Sugar, Shaban Ibrahim katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam. Azam ilishinda 2-0.
Golikipa wa Kagera Sugar, Agathony Antony akiokoa moja ya hatari langoni mwake.

No comments: