Friday, November 20, 2015

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

Jiji la Dar es salaam laelezwa kuzidi kughubikwa na hali ya uchafu unaombatana na maji taka yaliyotapakaa karibu na maeneo ya biashara jambo linalotishia afya za wakazi wa jiji hilo; https://youtu.be/hi5laDjYaPo

Chama cha wachimbaji madini ya vito katika eneo la Mererani chaibuka na kupinga kauli ya kamishina wa madini iliyotolewa hivi karibuni huku wakidai itasababisha migogoro zaidi ya uchimbaji; https://youtu.be/JhZYz0TNHww

Shirika la viwango Tanzania TBS, lavifungia viwanda viwili vya uzalishaji mabati vya jijini Dar es salaam kufuatia utengenezaji wa bidhaa zilizo chini ya kiwango;https://youtu.be/HUlrYMUAI2o

Baada ya Mhe. Kassim Majaliwa kuteuliwa kuwa Waziri mkuu,baadhi ya wafanyabiashara wampongeza huku wakitoa wito juu ya ukuzaji wa viwanda nchini;https://youtu.be/-jwR8Hy1tkw
Baadhi ya watumishi waliofanya kazi na Waziri mkuu mteule, Mhe.Kassim Majaliwa, watoa pongezi na kuelezea imani yao juu ya utendaji kazi wake;https://youtu.be/CIT7ovsm4Aw

Vyama vya siasa nchini vyatakiwa kuwekeza kwa wanachama wake kwa kuwaandaa viongozi wake katika elimu na maadili ; https://youtu.be/aiV9ZY4KJGM
Mtazame Producer Nahreel Akizungumzia Ujio Wa CMEA Na Faida Zake Katika Mziki Wa Tanzania; https://youtu.be/LUTIlyKePWU

Baada ya kuteuliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge, Dr.Ackson Mwansasu aelezea juu ya uteuzi wake huku pia akibainisha malengo yake; https://youtu.be/fyCwBxK4n-M

Waziri mkuu mteule wa serikali ya awamu ya tano,aongea machache baada ya uteuzi wake huku akieleza matarajio ya watanzania walio wengi;https://youtu.be/Tjp3EmB1i6U

Askofu wa kanisa katoliki wa jimbo la Bukoba atoa maoni yake juu ya uteuzi wa waziri mkuu, Mh.Kassim Majaliwa. https://youtu.be/86O_QrmQhSk

aadhi ya wabunge wa bunge la 11 watoa maoni tofauti juu ya uteuzi wa waziri mkuu mteule,Mh.Kassim Majaliwa; https://youtu.be/Me_j9S8HhcE
Wasifu wa waziri mkuu wa serikali ya awamu ya 5 watolewa kwa undani huku baadhi ya nyadhifa zake zikibainishwa; https://youtu.be/f91-BjZRYME

Baada ya uteuzi wa Dr. Tuli Ackson hatimaye ahojiwa na kuelezea historia yake tangu shule ya msingi mpaka alipofikia hivi sasa; https://youtu.be/bJ-qTB9-AUc
Kufuatia mipango ya UKAWA kutaka kupinga uhalali wa Raisi wa Zanzibar kuhudhuria Bunge hapo kesho, baadhi ya wabunge wa CCM wakikemea hatua hiyo na malengo yao; https://youtu.be/aWMUmyWF2wc
Waziri mkuu mteule Mhe.Kassim Majaliwa amesema serikali yake itasimamia maendeleo ya michezo nchini; https://youtu.be/Wwy9tDVz85s
Shirika la viwango nchini TBS limekifunga kiwanda cha mabati cha Snow Leorpad cha jijini Dar es Salaam kwa kutengeneza mabati yasiyo na kiwango;https://youtu.be/z5yW9eAOINw

Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa jambazi ameuawa kwa kupigwa risasi mkoani Singida wakati akijaribu kumpora polisi silaha; https://youtu.be/xv0QnhXQsno

Wananchi katika wilaya ya Tukuyu mkoani Mbeya wameunga mkono uteuzi wa Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kuwa naibu Spika wa bunge la 11;https://youtu.be/SN3hIaUhZ74

Mfumo wa kilimo cha Makinga Maji unatarajiwa kuanzishwa mkoani Simiyu kama sehemu ya kupambana na balaa la njaa; https://youtu.be/Z4tZLQBZIaA

Mrembo wa Tanzania mwaka 2014/15 Lilian Kamazima amekabidhiwa bendera ya taifa kuelekea China kushiriki shindano la mrembo wa dunia;https://youtu.be/33aIPS0y2gk

No comments: