![](https://mmi421.whatsapp.net/d/F82hJzwl0VVfyuGLfm-JY1Xxzys/AoaHe8YK86Xafq9tjBmvqGfDUs6lBmXWUSR0H4h1AoTr.jpg)
Balozi
wa Luv touch Manjano Irene Pul Katika Picha ya Pamoja na washiriki wa
Semina ya ujasiriamlai ya wanawake kwa kupitia Vipodozi vya Luv Touch
manjano iliyochini ya Manjano foundation.
Lengo la Mradi huo ni kuona kwamba wanawake hawa wanajisimamia na kujikita vizuri kwenye Biashara ya Vipodozi na kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara zao kwa lengo la kumuongezea ajira mwanamama na kuondoa dhana za ukosefu wa ajira kuwa chungu ya yeye kujiwezesha katika kujikimu mahitaji yake ya msingi, yaani aweze kujipatia Chakula, Malazi na Mavazi kwa kupitia ujasiriamali.Balozi huyo amewashauri Washiri hao kwanza kupenda ujasiriamali na kufanya kazi kwa bidii lazima watafanikiwa.
Pili kila mshiriki kuwa mbunifu kwenye biashara na kuja na kitu cha kipekee ambacho kitawafanya watumiaji wa luv Toch manjano pamoja na wateja wengine kushawishika kuwaunga mKono washiriki hao katika biashara yao pamoja na kuwatangaza kwa watu wengine wengi zaidi.
Lengo la Mradi huo ni kuona kwamba wanawake hawa wanajisimamia na kujikita vizuri kwenye Biashara ya Vipodozi na kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara zao kwa lengo la kumuongezea ajira mwanamama na kuondoa dhana za ukosefu wa ajira kuwa chungu ya yeye kujiwezesha katika kujikimu mahitaji yake ya msingi, yaani aweze kujipatia Chakula, Malazi na Mavazi kwa kupitia ujasiriamali.Balozi huyo amewashauri Washiri hao kwanza kupenda ujasiriamali na kufanya kazi kwa bidii lazima watafanikiwa.
Pili kila mshiriki kuwa mbunifu kwenye biashara na kuja na kitu cha kipekee ambacho kitawafanya watumiaji wa luv Toch manjano pamoja na wateja wengine kushawishika kuwaunga mKono washiriki hao katika biashara yao pamoja na kuwatangaza kwa watu wengine wengi zaidi.
![](https://mmi668.whatsapp.net/d/Pd3FeZnErozxYrsajut341Xxzys/AnAsy6cuU4solYhUCAWZLCQDq6XI8tN8LwKqkQGuioI9.jpg)
![](https://mmi660.whatsapp.net/d/pUg_ClJ-Ne6DaLFj_w5R51Xxzyo/Asre1j8yd-J2QntBKeHS9VdBC0-cjO3K7GuzEe9FDkcI.jpg)
No comments:
Post a Comment