Monday, August 10, 2015

WADAU NIAH ALMASI NA JACKLINE BUKUKU WAMEREMETA JIJINI MBEYA




Mtumishi wa Nssf Mbeya Niah Almasi   akiwa na nyuso ya furaha baada ya  ya kufunga pingu za maisha na Jackline Bukuku  ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika msikiti wa Forest jijini Mbeya na maulid iliyofanyika nyumbani kwa Bw.Harusi Brock T jijini hapa .



Bw.Almasi na Mke wake Jackline katika ubora wao




Baadhi ya watumishi wa Nssf Mbeya wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya mtumishi mwenzao kupata jiko ,(kushoto)Mr Maige  na Khadija Rashidi Shibobo.


watoto wa madrasa wakisoma dua katika harusi ya Bw.Niah na Jackline nyumbani kwake Block T jijini Mbeya mwishoni mwa wiki..Picha Jamiimojablog.




Aliyekuwa rais  wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TUCTA),Omari Ayub akiokoa jahazi kwa kugawa sahani za mpunga (Biliani)



No comments: