Friday, August 28, 2015

MAKALLA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI JIJINI DAR

????????????????????????????????????
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (kulia), akisalimiana na Afisa Ugavi Mkuu wa Bohari Kuu ya Maji, Datus Bahati mara baada ya kuwasili Bohari Kuu ya Maji wakati wa ziara yake ya siku tatu ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maji katika mkoa wa Dar es Salaam inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA) ambapo aliitimisha ziara hiyo Agosti 27, 2015 kwakukagua miradi iliyopo daraja la mpiji na Kerege na maungio ya maji ya wazo.
????????????????????????????????????Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Bohari Kuu ya maji iliyoko Boko jijini Dar es Salaam wakati ziara yake ya siku ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maji katika mkoa wa Dar es Salaam inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA).
DSC_0085
Afisa Ugavi Mkuu wa Bohari Kuu ya Maji, Datus Bahati akisoma taarifa ya utekelezaji wa kazi za Bohari Kuu ya Maji kwa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (hayupo pichani).
????????????????????????????????????????????????????????????????????????Kushoto ni Meneja Usimamizi Uendeshaji na Mazingira DAWASA, Modesta Mushi ,Afisa Ugavi Mkuu wa Bohari Kuu ya Maji, Datus Bahati (kulia) pamoja na Wakandarasi wa miradi hiyo na maofisa kutoka Wizara ya maji na waandishi wa habari wakimskiliza Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla wakati akizungumza (hayupo pichani).
????????????????????????????????????Baadhi ya waandishi wa habari (wakwanza pembeni) wakimsikiliza kwa umakini Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla wakati akizungumza.
IMG_2809Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Bohari Mkuu wa Wizara ya Maji, Crepn Balamu, jinsi mita za kisasa kutoka Uturuk zinavyofanya kazi ambapo amesema kazi yao ni kuingiza na kuwauzia mamlaka za maji katika miji nchini, kushoto ni Kaimu Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASA), Mary Mtukula.
DSC_00733Kutoka kulia ni Bohari Mkuu wa Wizara ya Maji, Crepn Balamu akimpa maelezo Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla vifaa vya kuunganisha maji wakati wa ziara yake ya siku ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maji katika mkoa wa Dar es Salaam inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA)
????????????????????????????????????Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla na ummbe wake wakishuudia maungio mapya ya maji yaliopo Kerege Bagamoyo mbapo yamekamilika kwa asimilia 95.wakati wa ziara yake ya siku ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maji katika mkoa wa Dar es Salaam inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA)
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????Muonekano wa maungio ya maji .
IMG_2872
Wakiangali maungio ya maji katika mto Mpiji Bunju.
????????????????????????????????????Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla na ujumbe wake wakiwasili katika eneo la Wazo tayari kuangalia maungio ya maji.
????????????????????????????????????Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla na ujumbe wake wakiangalia maungio ya maji katika eneo la wazo jijini Dar es Salaam Agosti 27, 2015 wakati wa ziara yake ya siku ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maji katika mkoa wa Dar es Salaam inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA).
????????????????????????????????????
SIKU YA PILI YA ZIARA
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla na ujumbe wake wakiwa katika eneo Kigamboni jijini Dar es Salaam katika visima vya Kimbiji na Mpera.akizungumza baada ya kutembelea maeneo hayo ambapo alisema ameridhishwa na uchimbaji wa visima hivyo visima 6 vimekamilika bado 14 kati ya visima 20 vinavyotakiwa katika mradi huo.Waziri alikuwa katika ziara yake ya siku ya pili Agosti 26, 2015 .
????????????????????????????????????
Waziri akijione mashine ya kunyonya maji kutoka kisimani.
????????????????????????????????????Akipata maelezo mara baada ya kufika katika kisima kilichokamilika cha Kisarawe 11 chenye urefu wa mita 415.
????????????????????????????????????
Hapa wakijionea mashine ya usafishaji wa kisima eneo la Kisarawe 6 kilichochimbwa kwa urefu wa mita 473.
???????????????????????????????????? Akipata maelezo.
Picha zote na Alex John.

No comments: