Friday, August 21, 2015

AIRTEL YAPATA WASHINDI WATANO WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO

 Afisa huduma za ziada wa Airtel bwana Fabian Felician akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya tano ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Manyara na Bukoba walipatikana (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Bakari Majid (kushoto) droo hii imechezwa jana katika makao makuu ya Airtel Moroco jijini Dar es saalam.
Afisa huduma za ziada wa Airtel, bwana Fabian Felician (kulia) akimkabidhi mshindi wa droo ya nne ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”, Daudi Ali Kingonji, Mkazi wa Dar es Salaam, shilingi million moja, kwenye makao makuu ya Airtel, Dares salaam.

No comments: