Friday, July 31, 2015

Simu TV - Habari mbalimbali kutoka vituo vya Luninga.

SIMUtv: Watuhumiwa 25 wa kesi ya ugaidi wamefikishwa mahakama ya Kisutu leo kujibu mashtaka huku wakisindikizwa na ulinzi mkali. http://youtu.be/yDBpF3JAsQs
SIMUtv: Mkuu wa mkoa wa Dodoma awataka viongozi kuwajibika ipasavyo katika mradi wa ujenzi wa bwawa katika bonde la Farkwa.  http://youtu.be/ASbycQxK4ZI
SIMUtv: Taasisi isiyokua ya kiserikali inayojihusisha na utafiti wa teknolojia yawakutanisha watafiti kutoka vyuo vikuu mbalmbali nchini kujadili tafiti za maendeleo. http://youtu.be/xHMLVg_3cbc
SIMUtv: Baadhi ya wafanya biashara mjini Moshi waiomba taasisi ya vyuo vikuu vya Afrika Mashariki na Kusini kuwasaidia kupata mikopo ya bei nafuuhttp://youtu.be/93qKcHdZFq4
SIMUtv: Shirika la madini la taifa STAMICO lasema mapato yake yatokanayo na uwekezaji kupitia kampuni zake tanzu umepanda kutoka Mil 282 hadi Bil3.http://youtu.be/IujLu1dAVM8
SIMUtv: Serikali yasema mfumo wa soko la bidhaa unaotarajiwa kuanza hapa nchini hivi karibuni utawasaidia wakulima kutatua changamoto za masoko.http://youtu.be/jQ-54JNkLDo
SIMUtv: Tume ya taifa ya uchaguzi NEC yaongeza siku nne katika zoezi hilo ambalo liligubikwa na changamoto nyingi zilizozuia maendeleo ya tukio hilo.http://youtu.be/Ao4DNolup5I
SIMUtv: Mkurugenzi wa elimu ya walipa kodi awataka wanasheria nchini kuijua kwa ndani sheria mpya ya kodi la ongezeko la thamani VAT.http://youtu.be/xmLN5LG3FnM
SIMUtv: Michuano ya KAGAME yaendelea kuelekea hatua ya nusu fainali timu nne zilizobaki zitaanza mtanange huo kesho huku Azam ikitarajiwa kupeperusha bendera. http://youtu.be/ju1ktyCfDOA
SIMUtv: Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa mwaka huu awataka viongozi wa vyama vya mbalimbali kuweka kando maswala ya kisiasa katika utekelezaji. http://youtu.be/7zR00wxX204
SIMUtv: Bondia Thomas Mashali atamba kumpiga mpinzani wake Ibrahim Tamba kwa knockout katika pambano lisilokua la ubingwa litakalofanyika agosti 29. http://youtu.be/SUCD3DdJBmo
SIMUtv: Makamu wa rais DK Maalim Bilal aisindikizwa na DK John Pombe Magufuli kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami kutoka kia hadi mererani. http://youtu.be/V243ieYYQdc
SIMUtv: Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa amekuwa mtu wa kwanza kuchukua fomu mapema leo ya kuwania Urais kupitia tiketi ya CHADEMA. http://youtu.be/zUiJH3PAHoA
SIMUtv: Mfanyabiashara mmoja afikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji baada ya kuwaua wenzake wawili kutokana na kutoelewana kibiashara Mkoani Mwanza.  http://youtu.be/SPv3ggaPDSc
SIMUtv: Tume ya taifa ya uchaguzi yaongeza siku nne katika zoezi hilo ambalo liligubikwa na changamoto nyingi zilizozuia maendeleo ya tukio hilo. http://youtu.be/D61rsC2BEHk
SIMUtv: Uongozi ulioko sasa barani Afrika waelezwa kua ndio changamoto kuu inayokwaza utangamano kamili wa bara la Afrika.http://youtu.be/5T8g4pR57Yo
SIMUtv: Idara ya uhamiaji nchini yatoa onyo kwa watu wasio watanzania na wanajiandikisha  kupiga kura katika uchaguzi mkuu 2015 kuacha tabia hiyo. http://youtu.be/2EDZK5dZMqc
SIMUtv: Idara ya uhamiaji yatoa onyo kwa watu wasio watanzania na wanajiandikisha kupiga kura katika uchaguzi mkuu2015 kuacha http://youtu.be/2EDZK5dZMqc
SIMUtv: Waziri wa zamani Edward Lowassa asema kamwe hatayumbishwa na maneno ya watu kuhusu kuihama CCM wakati  akichukua fomu Leo.http://youtu.be/udp89ECsU8A
SIMUtv: Idara ya uhamiaji imebaini kuwa raia wa kigeni zaidi ya 2048 wamejiandikisha katika daftari la wapiga kura kinyume na sheria.http://youtu.be/tI_0okUoA70
SIMUtv: Baadhi ya Wagombea nafasi za Ubunge Jimbo la Nzega walalamikia kukithiri kwa vitendo vya rushwa kwa baadhi yao wanaotaka kushinda katika kura za maoni. http://youtu.be/XbNRNCdZThQ
SIMUtv: Wanafunzi wa vyuo Vikuu wamesema wataendelea kuwa watiifu wa chama cha CCM licha ya Mkongwe Edward Lowassa kukihama.http://youtu.be/1lq1iOM5awA

No comments: