Thursday, June 18, 2015

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YASHIRIKI MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA YANAYOENDELEA KATIKA VIWANYA VYA MNAZI MMOJA

 Wageni wa Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma wakiangalia Vielelezo katika Banda la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 Wageni waliotembelea Banda la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakipata maelezo kuhusu huduma za Uhamiaji.
 Maofisa wa Idara ya Wakimbizi wakitoa maelezo kwa wageni waliotembelea Banda la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 Mgeni katika Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma akipata maelezo kuhusu Usajili wa Vyama vya Kijamii katika Banda la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 Mgeni aliyetembelea Banda la Wizara ya Mambo ya Ndani akiuliza kuhusu huduma za Idara ya Probesheni na Huduma kwa Jamii.
Afisa wa Idara ya Probesheni na Huduma kwa Jamii akitoa maelezo kwa wageni waliotembelea Banda la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuhusu masuala ya Probesheni na Huduma kwa Jamii.

No comments: