Tuesday, May 26, 2015

Memorial Day 2015: Taswira mbalimbali za Mamia ya wananchi walivyohudhuria gwaride kitaifa kwaajili ya mashujaa wa Marekan

Joe Mantegna na Gary Sinise  kwenye gari la Pili kushoto wakiwa katika ufunguzi wa Sherehe za National Memorial Day Parade Siku ya Jumatatu May 25, 2015 Jijini Washington DC. (Picha zote na Swahilivilla.Blog)
Kushoto: Joe Mantegna akiwa katika mwendo wa National Memorial Day Parade Siku ya Jumatatu May 25, 2015 katika barabara ya Pennsylvania Avenue Jijini Washington DC
 Mmoja katika ya wageni rasmi katika Parade 2015 Chef Robert Irvine pia alikuepo katika National Memorial Day Parade Siku ya Jumatatu May 25, 2015 katika barabara ya Pennsylvania Avenue Jijini Washington D.C 
Cheif wa Swahilivilla Abou Shatry  Swahilivilla akisalimiana  na kamanda wa Naval Wilaya Washington DC,  Adm. Markham K. Rich, baada ya  gwaride la kitaifa kwaajili kuwapongeza mashujaa wa Marekani 
 Cheif wa Swahilivilla Abou Shatry alipoungana na Mamia ya wananchi waliokusanyika katika jengo la National Archives North Side, Washington, D.C. kuangalia gwaride la kitaifa kwaajili ya mashujaa wa Marekani,  Siku ya Jumatatu May 25, 2015 katika barabara ya Pennsylvania Avenue Jijini Washington D.C  
Mami ya wananchi waliokusanyika kuangalia National Parade honors American heroes. katika jengo la National Archives North Side, liliopo barabara Pennsylvania Avenue Jijini Washington DC 
Baadhi ya wananchi kutoka sehemu mbalimbali wakusanyika kuangalia  gwaride la kitaifa kwaajili ya mashujaa wa Marekan     Parade  katika jengo la National Archives North Side, liliopo barabara Pennsylvania Avenue Jijini Washington DC
Cheif wa Swahilivilla Blog Abou Shatry akionyesha jambo katika   gwaride la kitaifa lilifanyika, Siku ya Jumapili Mei 26 katika barabara barabara Pennsylvania Avenue Jijini Washington DC 
Ufunguzi wa Gwaride yakiandaliwa huku mamia ya wanachi waliotoka majimbo tafauti wakiwa wamebeba bendera za U.S.A kwaajili ya kutoa heshima kwa mashujaa wa Marekan.
Kina mama wakiwa wamevalia mashati ya bendera ya Marekan yao ili kuja kuona gwaride kitaifa kwaajili ya mashujaa wao
    
Mpangilio wa heshima wa Polisi Pikipiki waliojipanga kuaza ufunguzi rasmi wa gwaride la kitaifa kwaajili ya mashujaa wa Marekan.           
Polisi Pikipiki waliojipanga kuaza ufunguzi rasmi wa gwaride la kitaifa kwaajili ya mashujaa wa Marekan. Kwapicha zaidi BOFYA HAPA 
           
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

No comments: