Thursday, February 19, 2015

WADAU WA CHANJO YA KUZUIA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI (HPV) WAKUTANA KILIMANJARO

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akizungumza wakati wa kufungua Mkutano wa Wadau wa Chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi (HPV) katika ukumbi wa Uhuru Hostel mjini Moshi.
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakifuatilia kwa karibu hotuba ya mkuu wa mkoa Gama.
Mwakilishi wa katibu mkuu wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt Neema Rusibamayila akitoa hotuba yake wakati wa mkutano huo wa siku tatu unaofanyika mjini Moshi.
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakiwemo Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wakifuatilia hotuba ya mwakilishi wa katibu mkuu wizara ya Afya,Dkt Rusibamayila.
Mwakilishi mkazi wa Shirika la Afya  Duniani (WHO) Dkt Rusaro Chatora akitoa hotuba yake wakati wa mkutano wa wadau  wa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa Kizazi (HPV).
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiteta jambo na Dkt Neema Rusibamayila wakati wa mkutano huo.
Meneja Mpango wa Chanjo taifa Dkt Dafrossa Lyimo akizungumza wakati wa mkutano huo.
Baaadhi ya wawakishi wa Mashirika ya Maendeleo wakifuatilia mkutano huo.
Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro Seveline Kahitwa akizungumza katika mkutano huo;.
Kaimu mganga mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt Quaker akifuatilia hotuba zilizotolewa wakati wa ufunguzi wa mkutano huo.
Mwakilishi mkai wa shirika la Afya Duniani Dkt Rufaro Chatora akiwa na Dkt Neema Rusibamayila wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa katika mkutano huo.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akifurahia jambo na Dkt Chatora.
Washiriki wa mkutano huo wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi ,mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama.
Kaimu mganga mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt Endrew Quaker akizungumza na mwakilishi mkazi wa shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt Rufaro Chatora nje ya ukumbi wa mkutano.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.



No comments: