Saturday, February 21, 2015

DKT. SHEIN AFUNGUA MSIKITI WA MAKUNDUCHI,ZANZIBAR

Msikiti mpya wa Kijiji cha Kiongoni Makunduchi wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja ambao leo umefunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kama ishara ya ufunguzi wa Msikiti Mpya wa Kijiji cha Kiongoni Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja (kulia) Mkuu wa Mkoa Kusini Dk.Idriss Muslim Hijja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kuufungua Msikiti Mpya wa Kijiji cha Kiongoni Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja na kuanza rasmi shuhuli za Ibada (kulia) Mkuu wa Mkoa Kusini Dk.Idriss Muslim Hijja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa nne kushoto) pamoja na Mashekhe na Viongozi na Waislamu mbali mbali wakiitikia dua iliyoombwa baada ya Swala ya Dhuhuri iliyoongozwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji (kulia) baada ya ufunguzi wa Msikiti Mpya katika Kijiji cha Kiongoni Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa kulia) pamoja na Mashekhe na Viongozi na Waislamu mbali mbali wakiitikia dua iliyoombwa baada ya Swala ya Dhuhuri iliyoongozwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji (hayupo pichani) baada ya ufunguzi wa Msikiti Mpya katika Kijiji cha Kiongoni Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.
Mwalimu Mkuu wa Chuo cha Kiislamu Zanzibar Dr.Sheikh Muhidin Siasa akitoa mawaidha baada ya ufunguzi wa Msikiti mpya wa Kijiji cha Kiongoni Makunduchi Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein.
Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji (kulia) alipokuwa akimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein azungumze na waislamu baada ya ufunguzi wa Msikiti Mpya katika Kijiji cha Kiongoni Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Waislamu wa Kijiji cha Kiongoni Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja baada ya kuufungua Msikiti mpya kijijini hapo leo uliojengwa kwa nguvu za wananchi pamoja na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi Mhe, Haroun Ali Suleiman.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Waislamu wa Kijiji cha Kiongoni Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja baada ya kuufungua Msikiti mpya kijijini hapo leo uliojengwa kwa nguvu za wananchi pamoja na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi Mhe, Haroun Ali Suleiman.[Picha na Ikulu.]

No comments: