Tuesday, December 9, 2014

Hazina yapamba tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne

Vijana wa Kikundi cha “Hisia Theatre Group” wakionesha ujuzi wao wa sarakasi wakati wa tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne linalofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe jijini leo Dar es salaam ikiwa ni kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Mwamuzi wa michezo ya sanaa za maonesho na Mhadhiri kutoka chuo Kikuu cha Dar es salaam Delphine Njewele (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwanasheria wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma (PPAA) Hamisi Tika kwenye banda la PPAA wakati wa tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne linalofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe leo jijini Dar es salaam ikiwa ni kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Mhadhiri kutoka chuo Kikuu cha Dar es salaam Dkt.Kedmon Mapana (kushoto) akiwa katika banda la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akifafanua jambo wakati alipotembelea banda hilo wakati wa tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne linalofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe leo jijini Dar es salaam ikiwa ni kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Wa kwanza kulia ni Afisa Huduma wa Elimu kwa Mlipa Kodi TRA Njovu K. Njovu na anayefuatia ni Afisa Huduma wa Elimu kwa Mlipa Kodi TRA Serapio Luanda.
Mwamuzi wa michezo ya sanaa za maonesho na Mhadhiri kutoka chuo Kikuu cha Dar es salaam Stephen Ndibalema (kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkaguzi Mwandamizi kutoka Bodi ya Michedzo ya Kubahatisha Tanzania Mrisho Milao wakati wa tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne linalofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe leo jijini Dar es salaam ikiwa ni kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Meneja Mawasiliano Jamii kutoka Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-T) Margaret Mussai akifafanua jambo kwa mteja wake Mashaka Kindamba mkazi wa Mtoni Mtongani Wilayani Temeke wakati alipotembelea banda hilo wakati wa tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne linalofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe leo jijini Dar es salaam ikiwa ni kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Watumishi wa Wakala ya Huduma ya Manunuzi Serikalini (GPSA) wakifuatilia michezo wakati wa tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne linalofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe leo jijini Dar es salaam ikiwa ni kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano Serikalini (GCU) Ingiahedi Mduma (katikati) wakati wakitoa burudani wakati wa tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne linalofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe jijini Dar es salaam.
Waamuzi ambao ni Wahadhiri kutoka chuo Kikuu cha Dar es salaam Dkt.Kedmon Mapana (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Mhadhiri kutoka chuo Kikuu cha Dar es salaam Delphine Njewele (wa kwanza kulia) wakionesha utaalamu wao wa sanaa kwa kusakata mzuki kwa saili ya “Kwaito” wakati wa tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne linalofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe jijini Dar es salaam. Picha zote na Eleuteri Mangi-MAELEZO)

No comments: