BENDI inayokuja kasi hapa nchini, Yamoto Band" kundi la vijana wenye vipaji vipya usiku wa kuamkia leo imefanya kufuru ndani ya Ukumbi wa Burudani wa "Lina's Night Club" uliopo hapa Mjini Bukoba. Ambao waliimba nyimbo zao matata za 'Najuta' ya Yamoto Band na nyingine zinazounda Album zao na kuhudhuriwa na umati wa Mashabiki ndani ya ukumbi huo na kuwafanya mashabiki muda wote kuvamia jukwaa kwa Makamuzi hayo ya kufa Mtu. Yamoto Band ambao ndio kwa mara ya kwanza kuja Hapa Mjini Bukoba wakiletwa na kampuni ya Shemeji Investment kushiriana na Ibra Cadabra.
Dodo Aslay akipagawisha stejini.
Vijana hao waliwapagawisha mashabiki kwa nyimbo zao mbalimbali kama vile Yamoto, Birthday na nyingine kibao.
Wengine walisimama kwenye kuta ili waweze kuona vizuri mbele
Wakina dada wakichukua picha kwenye simu zao
Mzungu wa Bukoba nae hakuweza kujificha
No comments:
Post a Comment