Monday, November 3, 2014

TOYOTA TANZANIA YAWATUNUKU WAFANYAKAZI WAKE BORA

Meneja wa Karakana wa Kampuni ya Toyota Tanzania Ltd, Josee Alverace (kushoto) na Mwenyekiti wa Toyota Tanzania, Mahmoud Karimjee (katikati) wakimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza wa jumla, Maria Robi wa Toyota Mwanza, wakati wa hafla maalum ya 12 ya kuwapongeza na kuwatunukia wafanyakazi bora wa mwaka 2014 wa Kampuni hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ofisi za Toyota zilizopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam. 
Washindi wakipokea zawadi zao...wakati wa hafla hiyo....
Mgeni rasmi, Eng. Prisca Mkama, akimkabidhi zawadi ya mshindi Peter Louce, wakati wa hafla maalum ya kuwapongeza na kuwatunukia wafanyakazi bora wa mwaka 2014 wa Kampuni hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ofisi za Toyota zilizopo Barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa Toyota Tanzania, Mahmoud Karimjee.
Mwenyekiti wa Toyota Tanzania, Mahmoud Karimjee (kushoto) na mgeni rasmi Eng. Prisca Mkama, wakipozi kwa picha na mshindi Anna Mzuri
Washindi wakipokea Tuzo zao...wakati wa hafla hiyo....
Zawadi kwa Maganga (katikati) 
Ma Mc's wakijiandaa kupagawisha....
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika hafla hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika hafla hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika hafla hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika hafla hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika hafla hiyo.
Kutoka (kulia) Mapunda, Maganga na Naniliu wakishuhudia kilichokuwa kikiendelea jukwaani.
Wafanyakazi hao walianza shughuli yao hiyo kwa dua maalum...
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika hafla hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika hafla hiyo, mezani ni magari ya mfano...

Pia wafanyakazi hao walishindana kuvuta kamba kati ya Madereva wa Kampuni na wa spea...., Madereva waliburuzwa hadi gereji wakashikishwa spana....
Mabosi wakifurahia shooo.....
Wafanyakazi hao walitoa burudani ya maigizo, (pichani) ni Mkufya na Bi shosti wakiigiza...
Hapa ni Bosi Naniliu akiingilia kati mtafaruku uliojitokeza baina ya mhudumu wa Ofini yake na mteja......
Hapa ni Bosi Naniliu akiingilia kati mtafaruku uliojitokeza baina ya mhudumu wa Ofini yake na mteja....
Mkufya akiendelea kukonga nyoyo za wafanyakazi wenzake...
Wafanyakazi wakifurahia shoo......
Burudani ya ngoma ya asili ya kabila la Wahehe.....
Burudani ya ngoma ya asili ya kabila la Wahehe.....
Msema chochote, Galinoma, akisherehesha huku akifafanua kuhusu moja ya silaha iliyotumika na wahehe kumtwanga Mjerumani enzi za ukoloni..
Hawa ni miongoni mwa washiriki katika kinyang'anyiro hicho cha kuwania tuzo ya mfanyakazi bora, ambapo utaratibu huo wa kuwatunuku na kuwapongeza wafanyakazi bora wa kampuni hiyo ulianza rasmi mwaka 2002, na sasa umetimiza miaka 12.
Fashion Show......

Fashion Show....
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika hafla hiyo.
Washiriki wa shoo wakipiga picha ya pamoja....
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa katika hafla hiyo.
Mgeni rasmi Eng. Prisca Mkama, akizungumza ......
Mjomba akipongezwa wakati akielekea jukwaani kupokea zawadi yake....
Burudani....
Huyu si Aisha Madinda, bali ni mfanyakazi wa Toyota Tanzania, akionyesha umahiri wake wa kunengua wakati wa hafla hiyo...
Baada ya shoo hiyo waliaga kama hivi....
Zawadi kwa wasanii wote walioshiriki kutoa burudani.....
Muda wa maakuli full kujisevia uliwadia.......
Pozi la picha 
Pozi la picha 
Pozi la picha...........

No comments: