Sunday, October 5, 2014

YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU, YAICHAPA 2-0

Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo huo.

Jaja akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa JKT Ruvu.

Jaja akichuana na beki wa JKT RUVU, Madenge Ramadhani.

Jaja akichuana na beki wa JKT RUVU, Madenge Ramadhani.


Mashabiki wa Yanga wakiishangilia timu yao.


 Edward Manyama akimtoka beki wa JKT Ruvu, Madenge Ramadhani.


 Kipa wa JKT Ruvu, Jackson Chove akiruka juu kuokoa hatari langoni mwake.





Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Kelvin Yondani katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. 

Picha zote na Francis Dande.

No comments: