Sunday, September 7, 2014

UTT ILIVYOSHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI 2014 PAMOJA NA MAONYESHO YA WAHANDISI

Baadhi ya wakazi wa jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake wakiwa katika banda la Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT) Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014, yaliyofunguliwa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Ofisa Uendeshaji wa UTT, Justine Joseph akitoa maelezo kuhusu fai anayoweza kupata mwanachama  mara baada ya kujiunga na mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania.  
Watu mbalimbali wakisoma vipeperushi vyenye maelezo ya huduma za UTT ili kujua faida za kujiunga na mfuko huo.
Ofisa Mafunzo wa UTT, Hilder Lyimo akitoa maelezo kuhusu huduma wanazotoa kwa watu walotembelea banda la Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT) katika Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014 iliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Ofisa Masoko wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), Waziri Ramadhani akitoa maelezo kwa watu waliotembelea banda lao wakati wa Siku ya Wahandisi iliyoambatana na maonyesho ya biashara yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya vijana wakipata maelezo kutoka kwa maofisa wa UTT waliotembelea banda lao wakati wa Siku ya Wahandisi iliyoambatana na maonyesho ya biashara yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Ofisa Masoko wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), Waziri Ramadhani akitoa maelezo kwa watu waliotembelea banda lao wakati wa Siku ya Wahandisi iliyoambatana na maonyesho ya biashara yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya watu wakipata maelezo katika banda la UTT wakati wa  katika Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji 2014 yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Ofisa Masoko wa UTT, waziri Ramadhani akiwa na Ofisa Uhusiano, Glory Temba wakati wa maonyesho ya Wakandarasi yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam.

No comments: