Thursday, September 25, 2014

PPF YAENDESHA SEMINA KWA MAAFISA WA MAKAMPUNI MBALIMBALI KATIKA (KANDA YA KINONDONI) MKOA WA TANGA LEO

Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Bw. Salum Chima akizungumza wakati akifungua semina ya Mfuko wa Pensheni wa PPF kwa maafisa wa makampuni mbalimbali katika  (Kanda ya Kinondoni) mkoani Tanga leo

Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa PPF kanda ya Kinondoni (inayojumuisha wilaya za Kibaha,Bagamoyo na mkoa wa Tanga),Bi. Zahra Kayugwa akizungumza na washiriki wa semina ya Mfuko wa PPF kwa maafisa wa makampuni mbalimbali katika (Kanda ya Kinondoni) mkoa wa Tanga leo.
Maafisa kutoka makampuni mbalimbali katika (kanda ya Kinondoni )mkoa wa Tanga wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa leo.
wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakiwa kwenye picha ya pamoja wakiangalia taarifa kwenye simu ya Meneja wa PPF kanda ya Kinondoni,Mkoa wa Pwani inayojumuisha wilaya ya Kibaha na bagamoyo) na mkoa wa Tanga,Zahra kayugwa leo kabla ya kuanza semina ya mfuko wa pensheni wa PPF kwa maafisa wa makampuni mbalimbali katika(Kanda ya Kinondoni)mkoa wa Tanga leo.
Meneja wa PPF kanda ya Kinondoni,Mkoa wa Pwani inayojumuisha wilaya ya Kibaha na bagamoyo) na mkoa wa Tanga,Zahra kayugwa (wa pili kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya maafisa wa Mfuko huo,Mkoa wa Tanga.
washiriki wa semina hiyo wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa mfuko wa Pensheni wa PPF leo baada ya kufunguliwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Salum Chima (aliyekaa katikati mwenye koti jeusi).
Katibu Tawala Mkoa wa Tanga,Salum Chima akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF leo.Picha na Oscar Assenga,Tanga.

No comments: