Friday, August 22, 2014

WANANCHI KIJIJI CHA MADINDO MLANGALI WASHIRIKIANA NA MBUNGE NA DIWANI WAO KUJENGA MRADI WA MAJI WA MILIONI 15

Mbunge Filikunjombe akishiriki kuchimba mfereji  wa maji kijiji cha Madindo
katibu wa  mbunge Filikunjombe Bw Stan Gowele kulia 
Mbunge Filikunjombe akishiriki kushusha tanki katika  lori na  wapiga kura wake tenki kwa ajili ya mradi wa maji kijiji cha Madindo
Mbunge  wa   jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe  kulia akishiriki kujenga mradi wa maji kijiji cha Madindo  Ludewa
Mbunge  Filikunjombe  kulia akishiriki  kuunganisha bomba la maji katika tanki
Wananchi  wa madindo wakishirikiana na mbunge wao Filikunjombe kukamilisha mradi wa maji

Diwani  wa kata ya Mlangali kushoto na katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Njombe  wakijumuika na wanawake wa  kijiji cha madindo kucheza kwa furaha baada ya mradi huo kukamilika ,kulia ni mbunge Filikunjombe akishuhudia
Diwani wa kata ya  Mlangali Faraja Mlelwa akisaidia  kukunja nguo kwa ajili ya kumwongeza mbunge Filikunjombe kata kichwani huku mbunge huyo akiwa na  wanawake wakiwa na ndoo za maji kichwani
Mwenyekiti wa  kijiji na  wananchi wa Madindo  wakimwongoza mbunge Filikunjombe katikati kwenda kutazama chanzo cha maji yanayotumika kijiji cha Madindo
Mbunge Filikunjombe akielekea  kutazama  chanzo cha maji kijiji cha madindo
Hiki ndicho chanzo cha maji ambacho wananchi wa Madindo hukitumia
Mbunge  Filikunjombe akiongoza wananchi na viongozi kupanda  mlima kwa  kukimbia mbio ili  kuelekea  kuzindua mradi wa maji
Diwani wa kata ya Mlangali Faraja Mlelwa (chadema) akimpongeza  mbunge Deo Filikunjombe (CCM) kwa jitihada zake za  kimaendeleo jimboni kwa  kumpa zawadi ya  pombe aina ya Ulanzi kama  sehemu ya  utamaduni wa  wana Ludewa
                                                          Na  Francisgodwinblog

WANANCHI wa Kigongoji cha Madindo kijiji cha Mlangali kata ya Mlangali  wilaya ya Ludewa kwa kushirikiana na mbunge  wao Deo Filikunjombe (CCM ) na diwani wao wa kata ya  Faraja Mlelwa wakamilisha mradi wa maji wa  milioni 15 badala ya milioni 87 za Halmashauri ya Ludewa
Kukamilika kwa mradi huo kwa gharama ya Tsh milioni 15 kumeokoa fedha za Halmashauri kiasi cha Tsh milioni 65 ambazo Halmashauri ya  wilaya ya  Ludewa ilikuwa ikizitafuta  ili kupeleka maji kwa wananchi hao.

Hatua  ya  wananchi hao  kujitolea  nguvu  zao kuanzisha   mradi huo  ilikuja baada ya uongozi wa Halmashauri hiyo  kuendelea  kuwazungusha  juu ya uanzishaji wa mradi huo kwa madai ya Halmashauri kutokuwa na kiasi hicho cha fedha na kuwataka  wavute subira  huku  wao  wakiendelea kutembelea umbali wa km zaidi ya 10 kufuata maji.
Akitoa pongezi zake kwa mbunge diwani wa Kata ya Mlangali kupitia Chama cha DemokrasianaMaendeleo (CHADEMA) amempongezaMbungewaJimbo la Ludewa, DeoFilikunjombe (CCM)  kwajitihadazakezakuletamaendeleokatika  kata  yakenajimbohilo la Ludewa .
Mbunge Filikunjombe akijiandaa kupokea rita ya pombe aina ya ulanzi ili  kushiriki kunywa pombe hiyo na wapiga kura wake 
Hatuayadiwanihuyokutoapongezihizoimekujabaadayambungehuyokutekelezaahadiyakendaniyasiku  14yakukamilishamradiwamajikitongoji cha Madindukijiji  cha Mlangalikwakupelekamatenkiyamajiyavifaavyakumalizahatuazamwishozamradihuo.
“…Nachukua fursahiikukupongezasanawewembungeFilikunjombe, tulikualikaAgosti 5, mwakahuu, ukatuahidinaleohiinaonamatenkiyamajiyamesimikwahapa, lakinipiaumeshirikikuchimbamtaro, hiiinatuonyeshakwambaumetuungamkono, umetusaidia, uondoaileadhailiyokuwainatupatasikuzotehapakijijini,” alisemaMlelwa.
Diwani Mlelwa alisema wananchi wake wakijiji cha Madindu walikuwawanapatashidayakutembeaumbalimrefuwa km zaidiyatanokwendakufuatamajinaviongoziwengi waliokuwepowalikuwawakitoaahadibilautekelezaji.
“InapendezasanatunapokuwatunasimamiaIlani, ziwezilezinazotekelezeka, mbungeametuahidini wiki mojatumeonamatokeoyametokea, lakininapendanisemekuwatunapokuwakwenyeshughulizamaendeleo, itikadizavyamatunaziwekapembeni,” alisemaDiwanihuyo.
Akizungumzanawananchiwakijijihicho, MbungeFilikunjombe ambayealiongozananambungemwenzakeKange Lugola kutoka Jimbo la Mwibalamkoani Mara alimpongeza diwanikwakuwakaribujiraninawananchi  wake nakuwambungewamfanokatikajimbohilo nan je yajimbo.
“Nakupongezasanawewediwaniwa CHADEMA kwakuwamakini kwenye hili, kunifuatamimimbungewa CCM navilevilekumtumiamwenyekitiwakijijikutoka CCM kutekelezaIlaniya CCM kwakutatuakeroyamajiiliyokuwaikiwakabiliwananchiwenu,” alisemaFilikunjombe.
Akizungumza jana nawananchiwakijiji cha Madindo wilayani Ludewa, mkoaniNjombe, FilikunjombealimsifudiwaniFarajaMlelwakwakushirikiananawananchihaonakufanikishamradiwamaji.
“Nawapongezawananchiwote, maanamlifikamahalimlichoka, mkaamuakunipigiasimu, shidainayowakabilihamkungojaserikali, mmeonashidayamajiipo, mkasematuanzesisiwenyewe, lakiniwatuwengiwamekuwawakisemaserikaliitafanya, mpakaviongozi, hilohapana,” alisemaFilikunjombe.
MbungeFilikunjombeambayealiongozananaMbungemwenzakeKangiLugolakutokaMwibalamkoani Marakwenyeuzinduzihuowamradiwamaji, walishirikikuchimbamtarowakupelekamabombakutokakwenyechanzo cha majikilichotegwakwenyechemichemyamajiinayotoka.
“Tuachekunung’unika, kulalamika, kilammojaatimizewajibu wake, mbungeatimizewajibu wake, diwaninayeatimizewajibu wake, nawananchinaowatimizewajibuwao, tukiunganainawezekana,” alisemaFilikunjombe.
Alisema hapendi kuona  wapiga kura  wake wanapata tabu  hivyo ndio  sababu ya  yeye mwenyewe  kulazimika  kushiriki kwa nguvu zote maendeleo  ya kuchimba  mifereji na kuhakikisha mradi huo unaanza  kutoa maji .
Akizungumzia furaha ya kupatikana maji kwenye kijiji chao, mkazi wa kijiji hicho, Yusta Mtega alisema wanashukuru maji kuanza kutoka kwenye kijiji chao ambapo alidai hapo awali watoto wao walikuwa hawapati maji ya kuoga, na hata nguo zao zilikuwa zimefubaa kwa kukosa kufuliwa.
“Naushukuruuongoziwetuwotekwakutuleteamaji, alfajiri tulikuwa tunaamka kufuata maji mtoni kwa umbali wa kilomita tano,watoto walikuwa wanaenda shuleni bila kunawa, miguu sasa inaonekana kutokana na maji tuliyoyapa,” alisemaMtega.
 Mbunge wa jimbo la Mwibara Kang Lugola akiwa na pombe aina ya ulanzi   huku pembeni mbunge akiwa ameonyesha  kuchoka kutoka na kazi nzito ya  siku nzima mara aliposhiriki kuchimba mifereji ya maji na wapiga kura wake 
......................................................................

Mradi huo wa maji katika kijiji cha Madindo hivi sasa utaweza kuhudumia jumla ya kaya 360 za  wakazi wa kijiji hicho.
 
Mwanamke  mkazi wa Madindo akimpongeza mbunge Filikunjombe kwa kasi kubwa ya maendeleo jimboni

No comments: