Tuesday, July 8, 2014

TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU


KUWAKUTANISHA WATANZANIA KAMA WANA DMV BILA KUJALI MENGINEYO

Lengo la Jumuiya ni Kuwaweka Watanzania pamoja na Kuwajumuisha Pamoja.

Katika Historia ya DMV kwa Miaka miwili mfululizo ya Uongozi wangu  tumeweza kuwajumuisha watanzania kwenye mambo mbali mbali. Tumeweza kufanya SUMMER PICNIC kwa watanzania wote wa DMV . Tuliweza kujipanga na Kuhakikisha watoto, vijana na Wazee wanajumuishwa pamoja na kufurahia, Watanzania bila Kujali Vyama na mengineyo tuliweza kujumuika kwa pamoja na kufurahi.  Lengo DMV MOJA.
Kwa Kuendeleza kuonyesha ni jinsi Gani umoja Ndio Lengo la Jumuiya na Sio Kupata Mamilioni ya Fedha wala Kuleta Siasa au Mengineyo. Kwa Miaka yote miwili ya uongozi na Timu yangu tuliweza kuandaa Party Ya Mwaka Mpya Kwa Watanzania Wote Hapa DMV na Kwa Gharama Nafuu. Lengo ni Kushereheka kwa Pamoja na Kuwa Pamoja kama watanzania DMV. Tuliserebuka na Kulisaka Bomboka kwa Raha Zetu. Mpango Pale Pale Mwaka huu December 31, 2014.

DUAL CITIZENSHIP /HAKI YA KUZALIWA

Nimekuwa mstari wa mbele katika kulipigania swala la Dual Citizenship . Nilianzisha PETITION kwa watanzania wote ulimwenguni ili kuweza kupeleka mawazo na nguvu zetu Diaspora tulio nje Bungeni Tanzania. Petition hii nilianzisha na kuhakikisha inawafikia wabunge na Mawaziri nyumbani Tanzania ilikuweza kulisukuma swala hili la Haki ya Kuzaliwa/Dual Citizenship. Mpaka Hii leo petion hii ishatiwa sign na Watanzania 1,754, ulimwenguni. http://www.change.org/petitions/honourable-bernard-membe-we-tanzanians-in-the-diaspora-believe-that-dual-citizenship-is-a-great-thing-for-the-country-please-support

Nimeshirikiana na Viongozi wenzangu wa Jumuiya za watanzania hapa Marekani, ITALIA, IRELAND, UK, ZADIA na DIACOTA kwenye kuhakikisha swala Hili la Dual Citizenship linafanikiwa. Tumekuwa tukifanya mikutano ya Kila Jumapili kujadili na kupanga mikakati katika swala hili.  

Kwa Hivi Sasa Viongozi Wenzangu wa Jumuiya za Marekani Kwa Kazi nzuri ninayoifanya na kwa imani na uaminifu walionao juu yangu, wamenichaguwa Kuwa Mwenyekiti Wa Umoja  wa Viongozi wa Watanzania Marekani.

PESA zimekuwa zikikusanywa kutokana na MAOMBI ya muwakilishi wa wanadiaspora kwenye bunge la katiba Mr. Kadari Singo. Pesa hizi zina lengo moja tu la kuhakikisha swala hili linafanikiwa. Lengo kuu ni kuwapa semina wabunge kuhusu swala hili kama tulivyoshauriwa na Waziri wa mambo ya Nchi za Nje Bwana Bernad Membe, Mabalozi wetu na Baadhi ya Viongozi. Pia Baadhi ya Pesa zitatumika kwenye Publicity kwenye Radio, TV na nk.

Jumla ya $9,405 zimekusanywa mpaka sasa na lengo ni kukusanya $25,000 . Mimi Nilikuwa Mchangaji namba mbili (2) . Kama kuna swali wasiliana na muwakilishi wa wanadiaspora kwenye bunge la katiba Mr. Kadari Singo au kiongozi yeyote wa Jumuiya za Watanzania Marekani kwenye link hii  http://www.gofundme.com/7jtyuw.  Mr. Kadari Singo singojr@gmail.com

Matumizi yanayofanyika kwenye Pesa hizi ni LAZIMA yapitishwe na Viongozi wote wa Jumuiya hizi za watanzania. Unaweza kuwasiliana na kiongozi yeyote hapa http://www.gofundme.com/7jtyuw kwa maelezo , maoni au maswali. Pesa hizi ambazo bado ziko under gofund,com zitakuwa Transfered kwenye Jumuiya ya Hapa DMV, halafu maelekezo ya Matumizi yatafanywa na Viongozi wote. Matumizi ya $700 yalipitishwa na Viongozi wa Jumuiya za Watanzania Marekani yalifanyika, AMBAPO MIMI NIMETUMIA PESA ZANGU BINAFSI ($700) na kutumwa kwa Kaka Kadari Singo kwa Maandalizi ya awali ya swala hili la Dual Citizenship. Pesa zangu nitarudishiwa Mara tu hela zitakapokuwa Transfered kwenye account ya Jumuiya.

Kwa contacts za Viongozi wa Jumuiya za Watanzania Marekani nenda  http://www.gofundme.com/7jtyuw


To:
Honourable Bernard Membe, Foreign Affairs Minister
Honourable Tundu Lissu, Constituency Member
Honourable Leticia Nyerere, Constituency Member
Honourable Mohammed Dewji, Constituency Member
Honourable Dr. Abdallah Kigoda, Constituency Member
Honourable Anne Makinda, Speaker- Constituency Member
Honourable Adam Malima, Constituency Member
Honourable Zitto Kabwe, Constituency Member
Honourable Aggrey Joshua, Constituency Member
Honourable Amina Clement, Constituency Member
Honourable Al-Shaymaa Kwegyir, Constituency Member
Honourable Rev. Peter Msigwa, Constituency Member
Honourable George Simbachawene, Constituency Member
Honourable Ezekia Wenje, Constituency Member
Honourable William Ngeleja, Constituency Member
Honourable Dr. Asha-Rose Migiro (Constitutional and justice minister), Constitutional and justice minister
Honourable Magdalena Sakay (Constituency Member), Constituency Member
Honourable Shanif Mansoor (Constituency Member), Constituency Member 

We Tanzanians in the Diaspora , Believe That Dual Citizenship is a Great Thing for The Country. Please Support.

The government has said that it is high time now for Tanzania to allow dual citizenships so as to enable the Diasporas contribute to the country’s development in terms of income and expertise.

It has been said that many wealthy and well educated Tanzanians living abroad fail to contribute to national development because they are denied the right to dual citizenship.

Diaspora communities make an enormous contribution to economic and social development of our motherland through various means such as advocating for Tanzanian causes, promoting linkages with the international community, attracting foreign investments, as well as skills transfer and remittances. Reports by various entities such as the Bank of Tanzania, World Bank, International Monetary Fund and Tanzania Bureau of Statistics demonstrate that Tanzania has received a large amount of remittances to offset the trade balance. This affirms the diaspora’s contribution to the economic growth and development of our motherland. Therefore, the Citizenship law in its current form is a hindrance to our heritage, rights, duties and responsibilities as Tanzanians.

Under the Current Tanzania Constitution, Tanzania and many of her origins are losing out because Tanzania prohibits Dual Citizenship. On acquiring foreign citizenship, Tanzanians are required to renounce their Tanzanian Citizenship only to become foreigners in their country of origin, Tanzania.

We strongly believe that as the rights, privileges or immunities enjoyed under the citizenship of Tanzania terminate, this significantly restricts the ability to effectively contribute to the economic and community development of our beloved country Tanzania.

Dual Citizenship is one step towards bringing Tanzanians together in promoting global participation and the "Brain Gain" concept to produce a globally educated and skilled workforce as well as a viable entrepreneurial culture. Ahead of the Millennium Development Goals, we write in acknowledgement and support of the Government's initiative to allow dual citizenship and allow Tanzanians their constitutional and fundamental right to freedom of movement in seeking employment, education, and family life, health care and be free from poverty and discrimination on participating in the global market.

No comments: