Wednesday, July 9, 2014

MBUNGE MAGIGE AHIDI KUWAINUA AKINAMAMA KIUCHUMI KUPITIA CATHERINE FOUNDATION

 
MA7Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha aliyevalia ushungi mweupe katikati Catherine Magige,akiwa na kikundi cha  akinamamalishe baada ya kuwawezesha vifaa vya upishi kwaajili ya kuendeleza biashara yao ya chakula katika eneo la kilombero jijini Arusha leo ambapo aliwawezesha wanawake wajasiliamili 150 wa jijini Arusha wanaojishughulisha na uuzaji wa mbogamboga,mama ntilie,machinga.
1.Wakina mama wakiwa wanamsikiliza Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha Mhe.Catherine Magige
2Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha Mhe.Catherine Magige akiwakabidhi kikundi cha akinamama kiasi cha shilingi laki mbili kwa kila kikundi ambapo alichangia jumla ya shilingi Milioni Moja na nusu kwa vikundi hivyo vya akina mama kwaajili ya kuwaezesha kuendeleza vikundi vyao vya vikoba
 
3Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha  Mhe.Catherine Magige akiwa anamkabidhi mamantilie vyombo vya kuendeleleza biashara yao ya chakula katika eneo la kilombero jijini Arusha
5
MA6Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha Ctherine Magige akiwa anaongea na akina mama wajasiriamali ambapo aliwachangia kikundi cha sombetini jijini Arusha shilingi Laki tano nakukubali kuwa mlezi wao
MA4Katibu wa mbunge huyo Lucy Bongole akiwa anazungumza na akinamama kabla ya zoezi kuanza
MA5Wanavikundi wakiwa wanasikiliza kwa makini
MA3
MA2
MA 1MA84Waandamizi katika pozi,Jamilah Omary wa chanel ten pamoja na devid Rwenyagira wa Redio 5
MA9MA10Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha aliyevalia ushungi Catherine Magige akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya akina mama
MA 11
MA 12Muonekano katika soko la kilombero ambapo Mhe.Catherine Magige alikwenda kuwatembelea vikundi hivyo
MA13Picha ya pamoja na baadhi ya kikundi cha wamachinga na Mhe. Mbunge
MA14 MA 15Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha Mhe.Catherine Magige akiongea na akinamama ntilie mara baada ya kufanya ziara ya kuwatembelea wanavikundi hao na kujionea namna wanavyoendesha biashara zao
 
MA 16Soko la kilombero jijini Arusha Mhe.Catherine Magige akiwatembelea wauzamatunda na mbogamboga
MA 18Kinamama wa soko la kilombero wakimsalimia Mhe.Catherine Magige mara alipofanya ziara ya kuwatembelea katika biashara zao za uuzaji wa mbogamboga

No comments: