Mpaka sasa katika timu nane tayari timu 3 zimeishatinga hatua hiyo ya Nusu Fainali ambazo ni Mabingwa watetezi Bilele Fc, Miembeni Fc, Kagondo Fc. Kesho ni kati ya Rwamishenye vs Kitendaguro kutafuta timu ambayo itakamilisha timu nne za kucheza Nusu Fainali. Ambapo Mshindi wa Kesho anatarajiwa kucheza na mshindi wa leo Kagaondo Fc.
Kipa Yassin Issa wa Ijuganyondo akidaka kwa uzuri kona
Habari zifike na Nyumbani
Taswira jukwaa Kuu wakitazama soka
No comments:
Post a Comment