Sunday, June 15, 2014

siku ya familia ya Chuo cha Ufundi Arusha yafana

 Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha,Dk Richard Massika(wa pili kulia)akiwa na wafanyakazi wenzake kwenye mazoezi ya viungo katika viwanja vya chuo hicho.
  Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha,Dk Richard Massika kulia)akiwa na wafanyakazi wenzake kwenye mazoezi ya viungo katika viwanja vya chuo hicho.
 Watoto wa wafanyakazi nao walijuika kwenye mazoezi ya siku ya familia.
 Mashindano ya kukimbia kwenye magunia yalivutia wengi walihudhuria siku ya Familia iliyopewa jina la “ATC Familia Moja”
 Kukimbiza Kuku 
 Vuta nikuvute mshindi lazima apatikane tu kwenye kuvuta Kamba.
 Wafanyakazi na wanafamilia wanawake wakishangilia baada ya kukabidhiwa Kombe la ushindi
 Sehemu ya Wanafamilia wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC)wakifatilia michezo mbalimbali
J.Makamu Mkuu wa Chuo,Utawala na Fedha,Dk Erick Mgaya akishangilia baada ya timu yake(Idara ya Umeme)kutwaa ubingwa wa mpira wa miguu dhidi ya AutoMech.

No comments: