Wednesday, June 25, 2014

NHIF ilivyonyakua kombe la ushindi Wiki ya Utumishi wa Umma

 Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akisaini kitabu cha wageni katika banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika Maonesho ya wiki ya Utumishi wa Umma aliyoyafunga jana.
 Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alitumia fursa hiyo pia kupima afya yake katika banda la upimaji afya la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa NHIF, Raphael Mwamoto akipokea cheti cha ushindi wa banda bora katika maonesho hayo.
  Ofisa Masoko na Elimu kwa Umma, Grace Michael akionesha kombe lililokabidhiwa kwa NHIF na Balozi Ombeni Sefue baada ya kuwa washindi.
 Maofisa wa NHIF wakifurahia ushindi
 Furaha iliendelea ndani ya banda
 Meneja wa NHIF, Mkoa wa Temeke, Ellentruda Mbogoro kushoto, Grace Michael (Katikati) na Meneja Masoko na Elimu kwa Umma, Anjela Mziray wakifurahia ushindi.
1.       Wananchi wakiendelea kupata huduma katika banda la NHIF.

No comments: