Sunday, May 11, 2014

TASWIRA ZA KIWANDA KIKUBWA CHA SARUJI KULIKO VYOTE DUNIANI CHA DANGOTE, NIGERIA

 Kiwanda kikubwa zaidi cha saruji kuliko kingine chochote duniani cha Dangote Cement Obajana Plant kutoka angani. 
 
  Kiwanda kikubwa zaidi cha saruji kuliko kingine chochote duniani cha Dangote Cement Obajana Plant kutoka angani
 Sehemu ya kijiji jirani na kiwanda hicho
 Kwa mbele ni malori yaliyopanga foleni kwenda kubeba saruji kiwandani hapo
 Nyumba za wafanyakazi pamoja na mkanda wa kusafirisha mali ghafi toka machimboni
 Machimbo ya kiwanda cha saruji cha Dangote
 Malori zaidi yakiwa yanangoja zamu ya kwenda kupakia mzigo kiwandani
 Ulinzi ni wa uhakika
 Ndege binafsi za Dangote zikiwa zimepaki katika uwanja binafsi wa kiwanda hicho
 Alhaj Dangote akiongea na mkuu wa polisi wa eneo hilo akiwa na binti yake Halima na mameneja wa kiwanda
 Alhaj Dangote akiongea na Dada Esther, mmoja wa wasaidizi wake katika ujenzi wa kiwanda cha Mtwara
 Sehemu ya mkanda wa kusafirisha mali ghafi toka machimboni hadi kiwandani
 Sehemu ya malori yanayofanya kazi kiwandani hapo
 Sheli ya kiwanda
 Malori kazini
 Sehemu ya machimbo
 Kisima kirefu cha maji
 Sehemu ya kiwanda
 Silo na maghala ya malighafi

 Moja ya benki 13 zilizofunga kambi kiwandani hapo
 Tawi la benki ya Access kiwandani hapo
 Sehemu ya  maegesho ya malori

 Mkanda wa malighafi
 Sehemu ya kituo cha kuzalishia umeme

 Baadhi ya wafanyakazi wa Kichina wakkitoka kupata mlo wa mchana
 Malori yakiwa tayari kupeleka mzigo kunakohusika
 Mixer
 Seehemu ya kiwanda
 Mmoja wa wasimamizi wa wafanyakazi kiwandani
 Taswira ya sehemu ya kiwanda
 Kiwanda
 Foleni ya maori kuelekea kiwandani kubeba mzigo
 Sehemu ya kiwanda
 Ndani ya ghala la malighafi
 Mkanda wa kuchukua malighafi toka machimboni
 Bango la uzinduzi wa awamu ya kwanza na ya pili
 Wahandisi wakifuatilia kila hatua ya uzalishaji kidigitali
 Mitambo ya kufuatilia uzalishaji
 Mhandisi kazini
 Baadhi ya wafanyakazi waandamizi




 Baadhi ya wafanyakazi baada ya kumaliza shifti

Alhaj Aliko Dangote akiwapa maelekezo rubani na mhudumu wa ndege yake binafsi katika uwanja wa ndege wa kiwanda chake cha saruji cha Obajana

No comments: