Tuesday, March 25, 2014

Tressa yazinduliwa rasmi jijini Mwanza

Hatimaye bidhaa ya vipodozi vya nyewele ya Kitanzania ijulikanayo kama TreSSa Proffesionals imezinduliwa leo katika hoteli ya Golden Crest ,jijini Mwanza. Hafla hiyo ilihudhuriwa na wamiliki wa saluni, wanamuziki na wanamitindo maarufu na waandishi wa habari. 
TreSSa Proffesionals ni bidhaa mpya ya vipodozi vya nyewele iliotengenezwa mahususi kwa ajili ya nywele za mwanamke wa Kitanzania. Tressa Professionals ni ubunifu kwenye tasnia ya utunzaji nywele, ikiwa na mchanganyiko wa kipekee wa sayansi na asili. 
Bidhaa za TreSSa zina viungo kama vile; Parachichi, Mafuta ya Jojoba, Indian Hemp na protini za nywele kama vile Keratin. Bidhaa hizi vimefanyiwa uchunguzi na kujaribiwa kwenye nywele za Kitanzania na kumpa Uhuru mwanamke wa Kiafrika wa kutokatika kwa nywele. 
Sasa mwanamke ana uhuru wa kuchagua bidhaa inayoendana na mtindo wa nywele aupendao. TreSSa ina bidhaa mbalimbali za vipodozi vya nywele zikiwemo; Relaxers (aina ya regular na super), Neutralising plus Strengthening Shampoo inayoweza kutumika kila siku, Hair Food (iliyo na mafuta ya Jojoba na Indian Hemp) inayong’arisha na kupoza nyewele na ngozi ya kichwa, Moisturising Pink Lotion kwa matumizi ya kila siku na Hair Mayonnaise iliyo na protini kwa nywele zenye afya.
 Akiongea na waandishi wa habari, Afisa Mkuu was masoko , Chemi cotex, Bwana R.N. Ojha, alisema, “Kampuni ya Chemicotex imekuwa mstari wa mbele kuleta bidhaa zenye ubora kwa watu wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. TreSSa ni mfano wa ahadi endelevu wa ahadi zetu wa kutoa bidhaa zenye ubora wa hali ya juu kwa watu wa Tanzania”. 
 Tressa Professionals ni bidhaa iliyotengenezwa na kampuni ya Chemicotex, ambao ni watengenezaji maarufu wa dawa ya meno ya Whitedent na Bannister’s Glycerine. Afisa Meneja wa kitaifa was biashara wa masoko, Chemicotex, Bwana Manoj Kumar, alisisitiza, “Utafiti umetuonyesha kwamba utunzaji wa nywele ni jambo la muhimu kwa wanawake wa Kitanzania. Hatimaye TreSSa imewapa wanawake uhuru wa kutokatika kwa nywele, ambalo ni tatizo kwa wanawake wengi wakati wakitengeneza nywele.” 
 Tuna mipango ya kuwafikia wanawake wote nchini kupitia semina, warsha, vipindi vya tv na ushirikiano wetu na saluni ili kuhakikisha mwanamke anapata fursa ya kutengeneza mitindo ya nywele aipendayo kwa kutumia TreSSa.” 
Bwana Ojha aliongezea alipokuwa akizungumzia mipango ya TreSSa. Kampuni hii ina mipango madhubuti ya kimasoko na kuitangaza bidhaa ya TreSSa, aidha kampuni ina malengo ya kumiliki asilimia 25 ya soko la utunzaji nywele ndani ya miaka 3.









 Chemi Cotex the manufacturers of popular brands such as the Super brand White dent Toothpaste , Bannister's cream and Glycerine has launched its new range of hair care products under the Brand name “Tressa Professional” in a star studded ceremony held at the Golden Crest hotel mwanza on the 24th of March 2014 . The event which was graced by  Top Salon owners, celebrities of the fashion and music world , members of the press and top management of Chemi Cotex.

“Tressa Professionals” range is an innovation in the hair care industry and has a combination of natural ingredients and science and has been made by one of the top manufacturers in South Africa. The product has been researched and tested on Tanzanian hair and give the African woman freedom from hair breakages, and also gives her the choice to choose products best suited for her hair.

The Tressa range has products like Relaxers (both regular and super), hair food with Jojoba oil and Indian hemp, Moisturising pink lotion, Neutralizing plus strengthening shampoo and hair mayonnaise. The products have been fortified with the goodness of keratin which is a relatively new concept in Tanzania.


With this initiative, and thanks to the special dose of magic during the launch that defined a new concept in the hair care category, Chemi & Cotex industries limited  has created a more direct and emotive link with all women who identify and express themselves with the need for good quality products in Tanzania. Chemi Cotex the dominant ORAL CARE player in Tanzania is redefining its international character by this inspirational development and launch of the world class “Tressa Professional” range.  

Le sel South Africa one of the most internationally experienced companies in the field of hair care, has worked with Chemi Cotex for developing this range for their new venture into the world of hair care.


CHEMICOTEX is one of East Africa’s leading fast moving consumer goods companies .The company‘s largest and best know brand is Whitedent toothpaste which is used by more than 20 million Tanzanians everyday ! Whitedent is the clear market leader in Tanzania and is also available to consumers in Rwanda, Kenya, Zambia, Malawi and South Africa

No comments: