Timu zote mbili zikisalimiana
Salaam
Picha ya pamoja ya Waaamuzi wa Kagera Sugar na Mbeya City
Timu Kapteni na waamuzi wakiteta kabla ya mtanange
Picha ya pamoja
Kikosi kilichoanza cha Mbeya City
Kikosi cha Mbeya City kikiomba leo katikati ya uwanja muda mfupi kabla ya mtanange kuanza
Taswira kabla ya mtanange kuanza
Mashabiki wa Mbeya City wakiutazama mpira leo Kaitaba mapema kipindi cha kwanza
Ilimchukua muda na baadae watoa Huduma walimtoa baada ya kuona hajiwezi katika kutembea na kwenda kumpa huduma ya kwanza nje ya uwanja.
Mbeya City wakifanya mabadiliko
Patashika kuutafuta mpira
Na Faustine Ruta, Bukoba
TIMU ya Mbeya City leo imeanza msimu wa pili vyema baada ya kuifungia Kagera Sugar kwenye uwanja wao wa nyumbani kaitaba bao 1-0. Kipindi cha kwanza kilimalizika kikiwa hakuna timu iliyokuwa imeziona nyavu za mwenzake hivyo zikalazimika kwenda mapumziko zikiwa 0-0, Huku kipa wa Kagera Sugar Hannington akiwa hoi kwa kuumia mguu baada ya kuachia frii kiki na kushtuka mguu na kulazimika kutolewa nje katika kipindi hicho cha kwanza. Kipindi cha pili dakika ya 72 Mbeya City wamepata bao kupitia mchezaji wao Richard Peter aliyekuwa amevaa jezi no. 13 mgongoni.
No comments:
Post a Comment