Saturday, January 25, 2014

pinda aweka jiwe la msingi katika kiwanda cha saruji Lindi

  Waziri mkuu Mhe Mizengo Pinda akiwasili  kuweka jiwe la msingi katika kiwanda cha saruji Lindi na kulia ni Mkurugenzi wa kiwanda hicho,Merey ally Saleh
 Waziri mkuu akizungumza na wakazi wa mji wa Lindi mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika kiwanda cha saruji Lindi na kulia ni Mkurugenzi wa kiwanda hicho,Merey ally Saleh
 Mandhari  ya kiwanda hicho katika hatua ya ujenzi inayotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu
 Mchoro wa kitakavyokuwa kiwanda hicho mara baada ya kukamilika mwishoni mwa mwaka huu
 Timu ya mafundi ikongozwa na wachina katika hatua za ujenzi
 wadau
Wananchi waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika katika eneo la Machole kinapojegwa kiwanda hicho
 Sehemu ya mitambo ya ujenzi
Waziri mkuu Mhe Mizengo pinda akifunua pazia kama ishara ya kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Kiwanda cha MEIS Cement Lindi

No comments: