Thursday, November 28, 2013

Same waadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia

 Wakazi wa wilaya ya Same na maeneo ya jirani wakiwa katika maandamano ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia.
 Baadhi ya washiriki katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yaliyofanyika jana wilayani Same.
 Maandamano yakiendelea
 Washiriki wakiwa katika eneo la tukio
 Meneja mipango wa shirika la NAFGEM linalojihusisha na kupinga vitendo vya ukeketaji Honoratha Nasuwe akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia iliyofanyika wilayani Same.
 Afisa wa kitengo cha elimu ya haki za binadamu na jinsia wa shirika la KWIECO ,Elizabeth Mushi akizungumza jambo wakati wa maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia iliyofanyika wilayani Same.
 Wadau wakifuatilia hafla hiyo

 Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia iliyofanyika jana wilayani Same,kamanda wa polisi wa wilaya ya Same ,OCD Asterio Maiga akitoa hotuba yake wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika katika kituo kikuu cha mabasi cha wilaya ya Same.
Washiriki wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi. 
Picha na habari na  Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Moshi.

No comments: