Sunday, November 17, 2013

Mdau Donald Massawe na Neema Mongi wameremeta jijini dar

 Bw. harusi, Donald Massawe akiwa na mke wake Neema Mongi mara baada ya kufunga ndoa katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
  Bw. harusi, Donald Massawe akiwa na mke wake Neema Mongi mara baada ya kufunga ndoa katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es Salaam.
 Donald na mkewe Neema.
Wanameremeta.
Neema akishiriki chakula cha bwana.
Donalda akishirika chakula cha bwana.
 Donald akiwa katika pozi.
 Neema akiwa katika pozi.

Donald akiwesa saini katika cheti cha ndoa.
Neema akiweka saini cheti
Juu na chini wapambe wakisaini.
Neema akipokea cheti cha ndoa.
Neema akionesha cheti chake cha ndoa.
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa na furaha.
safari ya kuelekea ukumbini Sunset Hall, Mbezi Beach ilianza.
Maharusi wakitoka kanisani.

Picha ya pamoja na wapambe.
Maharusi wakiwa na furaha baada ya kufunga ndoa.
Mapoziii.

3 comments:

Anonymous said...

Mmependeza sana

Anonymous said...

Maharusi wamependeza. Wasikubali maneno yakugombanishwa. Wapendane milele kama walivyoapa mbele ya Kanisa.

Anonymous said...

HAKIKA WALIPENDEZA!

MUNGU AWAPE AFYA NA BARAKA TELE KWENYE NDOA YAO