Monday, September 30, 2013

YALIYOJIRI KWENYE TAMASHA LA "TUKO WANGAPI? TULIZANA" NA KUNOGESHWA NA WASANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA

Ras Aluta Christopher Warioba akiongea na waandishi wa habari kwenye kongamano la wasanii wa Reggea lililofanyika leo kwenye viwanja vya BASATA
Ras Inocent akiongea neno kwenye kongamano la wasanii wa Reggea lililofanyika leo kwenye viwanja vya BASATA
Ras Ton akizungumza na vyombo vya habari wakati wa kongamano la Reggea lililofanyika leo  kwenye viwanja vya BASATA
 Ras Baraka akiwa kwenye stage akifanya maandalizi ya kuonesha burudani kwa wapenzi wa Reggea
Ras Inocent akitoa burudani kwenye kongamano  hilo
Hata wakina mama nao walikuwepo
Hapa ni kuruka wa burudani
Mama huyu alishindwa kuvumilia music wa Reggea akaanza kucheza kwenye mvua
 Dabo akitoa burudani wakati mvua inanyesha yaani mzuka kulikuwa hakuna kusitisha furaha kwa wapenzi wa Reggea waliokuwa kwenye tamasha ilo
Ni burudani tu hakuna kusubilia mvua ikatike
  Ras Ikabonnga Katondo akiwa na Ras Anord Kalikawe kwenye kongamano lililofanyika leo  kwenye viwanja vya BASATA

2013/9/8 Geofrey Adroph CODE
Wafanyakazi wa Tulizana wakiwaamasisha wananchi waliofika kwenye viwanja vya Leaders Clubs kupima Virus vya Ukimwi na pia kutoa elimu ya maambukizi ya Virus hivyo
Mmoja wa wafanyakazi akimweleza jambo kwa umakini kijana aliyekuja  kupima ili aweze kutoka kwenye mtandao wa ngono kwenye viwanja vya Leaders Club
Mmoja wa wananchi waliochangia damu kwenye tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" kwenye viwanja vya Leades Clubs jana mchana
Mfanyakazi wa Tulizana akitoa elimu kuhusu matumiza ya Kondom aina ya Dume  kwa vijana waliofika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana"
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa wamepumzika baada ya kazi ngumu ya kuelimisha jamii juu ya kuachana na mtandao wa mapenzi  ambao unaweza kusababisha maambukizi ya vurus vya UKUMWI wakati wa Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Mfanyakazi wa Tulizana akitoa elimu kuhusu matumiza ya Kondom aina ya Salama  kwa vijana waliofika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Upimaji wa Afya ukiendelea

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO ZIMA KWA KUBOFYA HAPA CHINI



Mfanyakazi wa Tulizana akitoa jinsi gani wataondoa mtandao wa kuwa na wapenzi wengi elimu  kwa vijana waliofika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Vijana wakisikiliza kwa umakini elimu wanayoipata juu ya maambukizo ya Ukimwi na hasa katika utumiaji wa mipira wakati wa mapenzi waliofika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Vijana wakisikiliza kwa umakini elimu wanayoipata juu ya maambukizo ya Ukimwi na hasa katika kuondoa mtandao wa kuwa na wapenzi wengi kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Rais wa Bendi ya Fm Akademia akimpa zawadi mshindi wa shindano la Kuzungusha Peni
Wakiwa kwenye picha ya pamoja
Madansa wa Fm Akademia wakiwa kazini kwenye tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana"
Fm Akademia wakiendelea kutoa burudani kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Rais wa Fm Akademia akiongoza timu yake wakiuzunguka Uwanja huku wakicheza ilikuwa furaha
Rais wa FM Academia Nyoshi el Sadaat na timu yake wakiendelea kutoa burudani
Wadau wakiendelea kuburudika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana"
Vijana wakitengeneza mfano wa Mtandao wa mapenzi ambao unaweza kusababisha maambukizi ya virus vya ukimwi
Baada ya kumaliza kutengeneza mtandao huo wakapiga picha ya pamoja kwenye "Tuko wangapi? Tulizana"
Suma Mnazaleti akiwa kwa stage wakati wa Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Clubs
Suma Mnazaleti akiendelea kutoa burudani
Baadhi ya wafanyakazi wa Tulizana wakiwa kwenye picha ya pamoja katika tamasha la
"Tuko wangapi? Tulizana"
Baadhi ya wananchi waliofika kwenye Viwanja hivyo vya Leaders wakifuatilia tukio zima
Snura akiwapagawisha mashabiki wake kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Snura akiendelea kutoa burudani
Timu nzima ya Snura ikiendelea kutoa burudani
Sasa ikafika muda wa kukata viuno ilikuwa ni hatari kwenye tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana"
Kweli yalikuwa majanga
Mc katika tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" akizungumza neno
Mc wa kike akizungumza neno
H Baba akitoa burudani wakati wa tamasha la Mc katika tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" na pia kulikuwepo upimaji wa virus vya ukimwi uliofanyika kwenye viwanja vya Leader Club
H Baba  akiendelea kutoa burudani
Densa wa H Baba akionesha umachachali wake kwenye stage
Shetta akiwa kwa Stage kwenye tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana"
Madansa wa msanii Shetta wakitoa burudani
Sasa ilifika kazi ya Shetta  kufanya ya wake kamo unavyoona anakata mauno
Wadau wakiwa  wametokelezea kwenye Camera ya yetu kwenye tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" nao hawa walikwenda kupima na wewe je utaenda lini?
Diamond akiwa Back Stage ya Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana"
Diamond akiwa kwenye Stage ya "Tuko wangapi? Tulizana" ambapo tamasha ilo lilifanyika kwenye viwanja vya Leader Club
Diamond akiendelea kutoa burudani
Kazi ndo kwanza kama imeanza
Diamond akiimba na shabiki wake wimbo wa Muziki gani aliyekuwa anaimba kama Ney wa Mitego
Wananchi walikuwa wengi waliofika kwenye  tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders
Watu walikuwa wakutosha kwenye tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana"

PICHA ZOTE NA PAMOJAPURE /PAMOJA BLOG

No comments: