Monday, September 30, 2013

AZANIA BANK YACHANGIA MIFUKO 100 YA SARUJI SHULE YA SEKONDARI NARUMU

Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi Hajira Mmambe akipeana mkono na mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari Narumu,Deodatus Nyoni mara baada ya kukabidhi mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa Bweni.
Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi Hajira Mmambe akipeana mkono na mkuu wa shule ya sekondari Narumu,Sister Joyce Mboya mara baada ya kukabidhi mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa Bweni.
Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi Hajira Mmambe katika picha ya pamoja na wanafunzi wa kidato cha nne waliohitimu katika shule ya sekondari Narumu iliyopo wilayani Hai.
Mkuu wa shule ya sekondari Narumu Sister Joyce Mboya akizungumza wkati wa mahafali ya 25 ya kidato cha nne katika shule hiyo.
Wahitimu wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Narumu sekondari wakiingia kwa madaha uwanjani kutoa burudani ya nyimbo kwa wageni.
Dada mkuu anayemaliza muda wake katika shule ya sekondari Narumu Anna Geluas akisoma risala mbele ya mgeni rasimi(hayupo pichani)aliyemshikia kipaza sauti ni mhitimu mwenzake Happiness Mkama.
Mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari Narumu Deodatus Nyoni akizungumza wakati wa mahafali ya 25 ya kidato cha nne katika shule hiyo.
Mgeni rasmi katika mahafali ya 25 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Narumu Hajara Mmambe akizungumza wakati wa mahafali hayo.
Mgeni mwalikwa katika mahafali ya 25 ya shule ya sekondari Narumu Ibrahimu Shayo(Ibra Line) akizungumza jambo wakati wa mahafali hayo.
Mwenyekiti wa bodi ya shule Deodatus Nyoni akimkabidhi zawadi mgeni rasmi katika mahafali hayo Hajira Mmambe kwa niaba ya Bodi .
Mgeni rasmi katoka mahafali hayo ambaye pia ni meneja wa benki ya Azania tawi la Moshi ,Hajira Mmambe akikata keki katika sherehe hiyo.
Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi Hajira Mmambe katika picha ya pamoja na wanafunzi wa kidato cha nne waliohitimu katika shule ya sekondari Narumu iliyopo wilayani Hai.

No comments: