Monday, July 1, 2013

Spika wa Bunge la Oman, (Majlis A'shura) Sheikh Khalid Bin Bilal Bin Nasir Al Maawali atembelea Serengeti

Spika  wa Bunge la Oman pamoja na wabunge 6 na wafanyakazi wengine wa Bunge la Oman, (Majlis A'shura) Sheikh Khalid Bin Bilal Bin Nasir Al Maawali leo ametembelea mbuga ya wanyama  ya Serengeti na kushuhudia sehemu ya 'Great Migration' katika mbuga hiyo. . Spika huyo ameishauri Tanzania kuitangaza zaidi utalii kwa kupitia vyombo vyote vya habari pamoja na mitandao ya kijamii ili kuvutia watalii wenye uwezo wa kifedha zaidi. Amehaidi ushirikiano wa kuitangaza Tanzania katika Inchi ya Oman na kuifanya iwe kivutio kwa wawekezaji wa kiarabu zaidi.
Spika wa Bunge la Oman, (Majlis A'shura) Sheikh Khalid Bin Bilal Bin Nasir Al Maawali akiwa katika hoteli ya kitalii ya Serengeti Four Seasons kabla ya kuelekea mbugani
Safari ya mbugani ikianza
Msafara wa  Spika wa Bunge la Oman, (Majlis A'shura) Sheikh Khalid Bin Bilal Bin Nasir Al Maawali
Pundamilia
Nyumbu kibao kila sehemu
Nyumbu
Safari ikiendelea
Nyumbu kila mahali
Msafar ukiendelea Serengeti

Mapumziko
 Spika wa Bunge la Oman, (Majlis A'shura) Sheikh Khalid Bin Bilal Bin Nasir Al Maawali akiongea machache
 Spika wa Bunge la Oman, (Majlis A'shura) Sheikh Khalid Bin Bilal Bin Nasir Al Maawali na msafara wake pamoja na wenyeji wake
Askari wa TANAPA akiwa lindoni
Mapumziko
Pundamilia
Msafara watua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Karume, Zanzibar

No comments: