Sunday, July 7, 2013

rais kikwete achezesha MECHI YA SIMBA NA YANGA (WABUNGE TAMASHA LA MATUMAINI) uwanja wa taifa leo.

Rais Kikwete akisaini mpira utakaotumika.
...Akiwakagua Yanga.
..Akiwakagua Simba.
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Eric Shigongo, Waziri Fenella Mukangara, marefarii na manahodha wa Simba na Yanga.
Vikosi vya Simba na Yanga.
JK akipuliza kipenga.
Rais Kikwete akielekea kukagua timu.
Mtanange ukiendelea.
Score board ilisomeka hivi.
Mashabiki.

No comments: