Thursday, July 4, 2013

JK atembelea viwanja vya Saba Saba

 JK akilakiwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Abdallah Kigoda alipotembelea maonesho ya SabaSaba Barabara ya Kilwa Road jijini Dar es salaam. Kati ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe Sophia Mjema
 Akisalimiana na maafisa waandamizi wa wakala wa Biashara TANTRADE
 
 Akipata taarifa fupi
 Dkt Kigoda na Katibu Mkuu wake Mhe Joyce
 Wadau wa FNB
 Banda la China
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 Mdau akijaribui mgolole wa kimasai
 Mvinyo toka Dodoma katika banda la EOTF
 JK akijadiliana jambo na Mama Anna Mkapa, Mwenyekiti wa EOTF
 JK akipata maelezo katika banda la Taasisi ya saratani ya matiti
 
 
 JK akitembelea mabanda
 JK akiwasili banda la JWTZ
 JK akisalimiana na komandoo katika banda la JWTZ
  JK akiwa na waziri wa Maliasili na Utalii balozi Kagasheki na naibu wake Mhe Lazalo Nyalandu
 Banda la Asali
 Banda la Nyuki
 
Wadau wa TANTRADE

No comments: