Tuesday, May 21, 2013

MDAU GEORGE KIVARIA ALIVYOSHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

 Mtoto aliyezaliwa jana Mr George Kivaria Mkuu wa Idara ya Njia Mbadala aka Alternative Channel ya NMB akikata keki tayari kwa kuwalisha wafanyakazi wa idara yake.
 Kata Keki tule.........ndio muda huo uliwadia
 Keki ilipoanza kuliwa.
 Uzaliwe tena ndio maneno yaliyosikika hapo.....
 Keki tamu hadi inataka kudondoka
Da Keki tamu ndio maneno yaliyotamba hapo jana
Cheerzzzzzzzzz...ndio ilifuata baada ya kumaliza kwa zoezi la kula keki.
Happy Birthday Mr George Kivaria Mungu Akuzidishie Nguvu, Upendo na Heri ya Miaka Mingi hapa Dunia.

No comments: