Saturday, May 4, 2013

 Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi,na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Pandu Ameir Kificho,ni miongozi mwa viongozi waliohudhuria katika sherehe ya kuwaapisha wajumbe wa Tume ya
Uchaguzi pamoja na Mwenyekiti wake Ikulu Mjini Zanzibar leo.
 Waziri wa Nchoo Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini,na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji,pia walihudhuria katika sherehe ya kuwaapisha wajumbe wa Tume ya Uchaguzi pamoja na Mwenyekiti wake Ikulu Mjini Zanzibar leo
  Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Shariff Hamad,akisalimiana na Viongozi waliohudhuria katika sherehe ya kuwaapisha wajumbe wa Tume ya Uchaguzi pamoja na Mwenyekiti wake Ikulu Mjini Zanzibar leo.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Jecha Salim Jecha,kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi. 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Balozi Omar Ramadhan Mapuri, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Nassor Khamis Mohamed, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Salmin Senga Salmin, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Dkt.Idris Muslim Hija, kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Ayoub Bakari Hamad, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akimuapisha Jaji Abdulhakim Ameir Issa, kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar










No comments: