Monday, May 27, 2013

Hafla ya Uzinduzi wa Big Brother The Chase 2013 wafana sana jijini Dar

 Big Brother The Chase imeanza sasa.

Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi akizungumza maneno machache muda mfupi kabla ya kuanza kwa Show ya Big Brother The Chase 2013 usiku huu pale kwenye Kiota cha Maraha cha Samaki Samaki kilichopo maeneo ya katikati ya Jiji la Dar es salaam,ambapo wadau mbali mbali walihudhulia hafla hiyo.
 Kabla ya kuanza uzinduzi wa Show ya Big Brother The Chase 2013 usiku huu pale kwenye Kiota cha Maraha cha Samaki Samaki kilichopo maeneo ya katikati ya Jiji la Dar es salaam,ilichezeshwa bahati nasibu ndogo iliyompelekea mdau huyu (kushoto) kuibuka na Tablat mpya kabisa.kulia ni Mshereheshaji wa hafla hiyo,Millard Ayo.
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya nchini,Ambwene Yessaya a.k.a AY akisoma kikaratasi wakati akimtaja mshindi wa bahati nasibu ya shilingi laki moja.
Pongezi kwa mshindi wa kitita cha sh. laki moja.
bahati nasibu ikiendelea.
Wadau sie tukiwakilisha ndani ya Samaki Samaki,toka shoto ni Missie Populer,Mie,B12,Jimmy,Mdau pamoja na Kajunason.
Wadada wa Airtel,Dangio na Jannet.
Mdau Njedengwa akitafakari jambo.
Wadau.
mazungumzo ya hapa na pale kati ya Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi na MC Millard Ayo.
Mkuu wa Kitengo cha Masoko DStV,Dada Furaha Samalu akiwa na Mdau kwenye hafla hiyo.
Bahati nasibu ya kufungua box lenye zawadi huku kila mmoja akiwa na funguo yake.
Cathbert Angelo akizungusha mkono kwenye kindoo ili kuchagua jila la mshindi wa bahati nasibu.
Ni shangwe kwa kwenda mbele pale Mtanzania Feza Kessy alipoonekana ndani ya Jumba la Big Brother.
Wadau wakishoo lavu ndani ya Samaki Samaki.
Wengi walikuwa wakifuatilia kwa umakini zoezi hilo.

No comments: