Tuesday, March 5, 2013

ZIARA YA RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN MJINI MAGHARIBI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi wa Vikosi vya Ulinzi alipowasili katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi akiwa katika ziara ya Mkoa huo iliyoanza leo
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na wafanyakazi katika  Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi alipofanya ziara ya Mkoa huo iliyoanza leo
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na wafanyakazi katika  Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati)akiwa na Viongozi katika  Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi alipofanya ziara ya Mkoa huo iliyoanza leo (wapili kushoto) Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibu Abdalla Mwinyi Khamis,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Barza la
Mapinduzi DK.Mwinyihaji Makame,(kulia) na Mkuu wa Wilaya Mjini Abdi Mahamoud Mzee
 Baadhi ya Viongozi na watendaji wa Idara mbali mbali za Ofisi za Serikali wakiwa katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi,katika mkutano na Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, 
 Baadhi ya Viongozi na watendaji wa Idara mbali mbali za Ofisi za Serikali wakiwa katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi leo
 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea Ripoti ya  utendaji kazi za Mkoa,kutoka kwa Mkuu wa  Mkoa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis,alipofika Ofisini kwake akiwa katika ziara ya Mkoa huo

 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akionesha zawadi aliyopewa na  Mkuu wa  Mkoa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis

 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mhandisi wa Ujenzi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Iddi Khatib,alipotembelea kukagua Ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Wilaya huko Mpendae Mjini Zanzibar,akiwa katika ziara ya mkoa Mjini Magharibui iliyoanza leo
 Ujenzi Skuli ya Sekondari ya Wilaya huko Mpendae Mjini Zanzibar ukiendelea katika Mkoa wa Mjini Magharibi
,ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alitembelea ujenzi huo akiwa katika ziara ya Mkoa huo iliyoanza leo
 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji (ZAWA) DK.Mustafa Ali Garu,alipofika Chumbuni Kuangalia mradi uchimbaji wa  kisima cha Maji katika eneo hilo akiwa katika ziara ya Mkoa wa Mjini Magharibi iliyoanza leo.
 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo ya Ujenzi kutoka kwa  Mhandisi wa Ujenzi  wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Iddi Khatib,alipotembelea kukagua
Ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Wilaya huko Mpendae Mjini Zanzibar,akiwa katika ziara ya mkoa Mjini Magharibui iliyoanza leo.
 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka  Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji (ZAWA) DK.Mustafa Ali Garu,alipofika Chumbuni Kuangalia mradi uchimbaji wa  kisima cha Maji katika eneo hilo akiwa katika ziara ya Mkoa wa Mjini Magharibi iliyoanza leo
 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akitia saini kitabu cha wageni baada ya kufungua kituo cha Mafunzo ya Kazi za Amali,Chumbuni Wilaya ya Mjini Mkoa Mjini Magharibi 
 Baadhi ya Viongozi na wananchi wa Jimbo la Muembemakumbi wakimsikiliza Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipozungumza na wananchi hao
alipofungua kituo cha Mafunzo ya Kazi za Amali,Chumbuni Wilaya ya Mjini Mkoa Mjini Magharibi alipokuwa katika ziara Mkoa huo
 Baadhi ya Viongozi na wananchi wa Jimbo la Muembemakumbi wakimsikiliza Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipozungumza na wananchi hao
alipofungua kituo cha Mafunzo ya Kazi za Amali,Chumbuni Wilaya ya Mjini Mkoa Mjini Magharibi alipokuwa katika ziara Mkoa huo
 Msoma Utenzi Shadat Juma,akiwaburudisha wananchi katika hafla ya uzinduzi wa kituo cha Mafunzo ya Kazi za Amali,Chumbuni Wilaya ya Mjini Mkoa Mjini Magharibi,mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa katika ziara Mkoa huo
 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na wananchi na wazee wa Chumbuni  Wilaya ya Mjini Mkoa Mjini Magharibi, alipofungua kituo cha Mafunzo ya Kazi za Amali,akiwa katika ziara Mkoa huo,(kulia) Naibu waziri wa Ulinzi Perera Ame Silima,na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Abadallah Mwinyi Khamis,na (kushoto)Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Mwinyihaji Makame 
 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea risala ya kituo cha kituo cha Mafunzo ya Kazi za Amali,Chumbuni Wilaya ya Mjini Mkoa Mjini Magharibi, kutoka kwa Katibu wa Chuo Iddi Sheha Makame,alipokizindua kituo hicho akiwa katika ziara Mkoa huo
Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Hassan Ali Mbarouk,(kulia) akitoa maelezo kwa Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,wakati alipotembelea kituo kipya cha Umeme huko Welezo alipokuwa katika ziara ya Mkoa wa Mjini Magharibi iliyoanza leo

No comments: