Sunday, February 24, 2013

TCRA KANDA YA MASHARIKI WASHEREHEKEA SIKU YA FAMILIA ,FAMILY DAY

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki Eng. Oscar Mwanjesa akSikata keki ya kusherehekea siku ya kuzaliwa kwake mbele ya wafanyakazi wenzake wa Mamlaka hiyo wakati wa hafla ya family day iliyofanyika katika hoteli ya Southan Beach Kigamboni Dar es Salaam. Watatu kutoka kulia ni Kaim Meneja Mawasliano wa TCRA Semu Mwakyajala.
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliaono (TCRA) Kanda ya Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kusherehekea siku ya Family Day iliyofanyika katika ufukwe wa bahari ya hindi eneo la hoteli ya Southen Beach Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliaono (TCRA) Kanda ya Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na familia zoa wakati wa kusherehekea siku ya Family Day iliyofanyika katika ufukwe wa bahari ya hindi eneo la hoteli ya Southen Beach Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya watoto wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  kanda ya Mashariki wakishindano kufukuza kuku wakati wa katika ufukwe wa haoteli ya Southan Beach Kigamboni ikiwa ni sehemu moja wapo ya kusherehekea siku ya Familia iliyoandaliwa na Mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki wakishindano kuvuta Kamba ikiwa ni sehemuya shamlashamla za kusherehekea siku ya Familia iliyofanyika katika hoteli ya Southan Beach Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Watoto wa wafanyakazi wa Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki wakishindana kukimbia na magunia ikiwa ni sehemu ya kusherehekea siku ya Familia iliyofanyika katika hoteli ya Southan Beach Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki wakiwa na Familia zao wakicheza muziki aina ya kwaito ikiwa ni sehemu ya kusherehekea siku Familia iliyofanyika katika hoteli ya Southan Beach Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki wakishindana kukumbia na Magunia ikiwa ni sehemuya shamlashamla za kusherehekea siku ya Familia iliyofanyika katika hoteli ya Southan Beach Kigamboni jijini Dar es Salaam.

No comments: